Who are Great Thinkers? Mleta uzi ameleta evidence ya masuala ya kitaaluma ambayo wanafunzi wa sheria hawayapati kwa upande wa UDSM,lakini wale wa SAUT wanayapata...Hoja hapa ni kwamba,je ni halali wanafunzi wa sheria wakose mafunzo kwa vitendo kwa kuwa tu wengi wao walikuwa na division one? Pili,hata kwa common sense kwani hatujawahi kusikia yule aliyepata div.1 form four then akapata three form six,sasa tuseme haiwezekani wale waliopata div.1 na kujiunga UDSM kuhitimu chuo wakiwa incompetent kutokana na mleta uzi alivyoainisha.Let's be radical to solve our problems out of being crazy of history of UDSM...how many graduates of our university signed illogical contracts which robbed the nation?