maishamagumutanzania
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 221
- 65
wasomi munabishana! mimi sio mwana udsm wala mwana udom ila udsm ilikuwa ya zamani sasa ivi imekwisha labda bado naikubali kwa kozi kama Law na somehow injiniaringi kwa Tanzania lakini nyingine semeni ukweli wana udsm mnaosoma kozi nyingine mnatoka mkiwa shallow!
Nyie ni wasomi wa wapi? Hebu leteni hoja zenye maana hapa. Huu ni utoto, wa kushindanisha kipi ni chuo bora ni UTOTO.
mwanzisha uzi inaonyesha anatoka udom na pia anadhirisha wepesi wake kichwani kama angekuwa na elimu level ya udsm uzi kama huu usingepata nafasi kichwani mwake, nyumba mnabebwa kitu kimoja nyumba za kulala , ambazo pia zinachangia shallowness yenu, na mambo mengi ya msingi.:A S-rap:
Lengo sio kushindanisha vyuo ila nikuwakumbusha na kuwashauri wanafunzi wa UDSM kuwa sasa Elimu imetanuka sana vyuoni wasiwe na mawazo yaleeeeee ya kuwa wao ndio bora zaidi. Ila kwavile hawati kuambiwa kweli ndio mana wanaleta kejeli
Thibitsha kwamba Walimu wote wa UDOM wametoka UDSM. Mbona nasikia wanatoka Muslim University? Haya mawazo ya kushindanisha Vyuo yanatokana na fikra mgando, inferiority complex na kutoajiamni kwa baadhi ya watu particularly waliosoma UDOM wenyewe. Hivi vyuo vyote ni vya Watanzania na vimejengwa na Watanzania kwa faida ya Watanzania. Tukubali pia sio rahisi kumfananisha mtoto wa miaka 6 na yule wa miaka 50. UDSM wapo mbele kwa kila kitu, unaweza kuilinganisha tu na SUA, Makrere, University of Nairobi e.t.c. Kwa sasa UDOM bado wanayo kazi ya kufanya tena kubwa kwa sababu hata SAUT tu wakao juu ya UDOM. Nadhani ni busara sana kuipa muda UDOM ijipange na kuka sawa labda baada ya miaka 20 hivi. Kusema UDOM ni Chuo pinzani ni mawazo mgando yasiyo lenga kukisaidia hata kidogo. Hebu fikiria mpaka sasa hivi Chuo kilikuwa hakijatoa transcript za mwaka 2012...transcript sio vyeti....wamejiandaa kweli hawa?Imezoeleka kuwa UDSM ndio chuo bora kinachotoa wanafunz wenye kiwango cha juu cha taaluma,(mazoea sio sheria) na wanafunzi wa UDSM wote wanaamini hivyo kuwa wao ni bora kuliko vyuo vingne hasa chuo chao pinzani (UDOM), Moja kati ya hoja zao wanasema wanafunz wa UDOM elimu yao sio bora coz walimu wao hawana taaluma ya kutosha, if so inamana hamjui kuwa walimu wa UDOM ndio wanafunzi waliomaliza UDSM?.
Kwani wewe hujui kazi za Tutoarial Assistant?So hawana viwango vya kufundisha ngazi ya degree?
Unasumbuliwa na inferiority complex we kijana.aliyekuambia udom ni chuo pinzani kwa udsm ni nan?udsm ilinganishe na vyuo kama makerere,cape town,cairo na nairobi..udom level yake ni vyuo kama mipango,cbe,TIA na ushirika.
Kizazi hiki kina tabu sana badala yeye akomae aelimike haswa anangalia maswala ya vyuo na sijui nani kasema kuna ushindani baina ya UDSM na UDOM???Unasumbuliwa na inferiority complex we kijana.aliyekuambia udom ni chuo pinzani kwa udsm ni nan?udsm ilinganishe na vyuo kama makerere,cape town,cairo na nairobi..udom level yake ni vyuo kama mipango,cbe,TIA na ushirika.
UDSM imeikashifu UDOM?
Imezoeleka kuwa UDSM ndio chuo bora kinachotoa wanafunz wenye kiwango cha juu cha taaluma,(mazoea sio sheria) na wanafunzi wa UDSM wote wanaamini hivyo kuwa wao ni bora kuliko vyuo vingne hasa chuo chao pinzani (UDOM), Moja kati ya hoja zao wanasema wanafunz wa UDOM elimu yao sio bora coz walimu wao hawana taaluma ya kutosha, if so inamana hamjui kuwa walimu wa UDOM ndio wanafunzi waliomaliza UDSM?.
hili nalo swali la msingi, niliposoma heading ndicho nilichojiuliza pia!!!
Imezoeleka kuwa UDSM ndio chuo bora kinachotoa wanafunz wenye kiwango cha juu cha taaluma,(mazoea sio sheria) na wanafunzi wa UDSM wote wanaamini hivyo kuwa wao ni bora kuliko vyuo vingne hasa chuo chao pinzani (UDOM), Moja kati ya hoja zao wanasema wanafunz wa UDOM elimu yao sio bora coz walimu wao hawana taaluma ya kutosha, if so inamana hamjui kuwa walimu wa UDOM ndio wanafunzi waliomaliza UDSM?.
Lengo sio kushindanisha vyuo ila nikuwakumbusha na kuwashauri wanafunzi wa UDSM kuwa sasa Elimu imetanuka sana vyuoni wasiwe na mawazo yaleeeeee ya kuwa wao ndio bora zaidi. Ila kwavile hawati kuambiwa kweli ndio mana wanaleta kejeli
Ndio wanafunzi wengi wa UDSM wanaikashifu UDOM peleleza utagundua
Kosa la wanafunzi wa UDSM hawataki kuamini km kuna chuo hapa TZ ambocho kina ubora wa utaaluma kuliko chao,