je wajua kuwa wanafunzi wa first year waliopata neema ya HELB Unatakiwa ufungue account ya benk kata ya matawi yafuatayo CRDB,NBC & NMB Ila swali je ni lipi kati ya haya matawi ni nzuri zaidi na halina usumbufu mwingi wakati wa kufungua?
je wajua kuwa wanafunzi wa first year waliopata neema ya HELB Unatakiwa ufungue account ya benk kata ya matawi yafuatayo CRDB,NBC & NMB Ila swali je ni lipi kati ya haya matawi ni nzuri zaidi na halina usumbufu mwingi wakati wa kufungua?
Hahaha mpaka unaingia chuokikuu huna account polee
Ndugu usiwe na upumbavu mwingi kichwani,hata kama wewe si msoni,ukiwa jf jifanye msomi kwa muda....
We unadhani benk account ni crdb na nmb,usipende kukariri...!
Watu wana account KCB,barclays,standard chattered...
Ndugu usiwe na upumbavu mwingi kichwani,hata kama wewe si msoni,ukiwa jf jifanye msomi kwa muda....
We unadhani benk account ni crdb na nmb,usipende kukariri...!
Watu wana account KCB,barclays,standard chattered...
Tumechoka na threads zenu. Mlianza matokeo ya Form Six, ikawa NECTA, NECTA, NECTA...! Ikaja selection, ikawa TCU, TCU, TCU...! Ikaja mikopo, ikawa HESLB, HESLB, HESLB..! Yaani hata benki mnaulizia? Hawa wanachuo waliotoka shule za kata matunda yake ndo haya. Ngoja muanze kukimbizwa na assignments, sijui kama tutawaona humu!
wapo wanaohitaji msaada huku kama vipi kafanye mambo yako mengine SI LAZIMA kujibu post ambayo hujui
... Unatakiwa ufungue account ya benk kata ya matawi yafuatayo CRDB,NBC & NMB Ila swali je ni lipi kati ya haya matawi ni nzuri zaidi na halina usumbufu mwingi wakati wa kufungua?
Na wewe unaamini kuwa CRDB, NBC na NMB ni matawi? Kama mtu hajui hata kuwa CRDB, NBC na NMB ni Benki, sio matawi, sasa utamshauri aende 'tawi' gani?wapo wanaohitaji msaada huku kama vipi kafanye mambo yako mengine SI LAZIMA kujibu post ambayo hujui
Na wewe unaamini kuwa CRDB, NBC na NMB ni matawi? Kama mtu hajui hata kuwa CRDB, NBC na NMB ni Benki, sio matawi, sasa utamshauri aende 'tawi' gani?
Na wewe unaamini kuwa CRDB, NBC na NMB ni matawi? Kama mtu hajui hata kuwa CRDB, NBC na NMB ni Benki, sio matawi, sasa utamshauri aende 'tawi' gani?
Ndugu usiwe na upumbavu mwingi kichwani,hata kama wewe si msoni,ukiwa jf jifanye msomi kwa muda....
We unadhani benk account ni crdb na nmb,usipende kukariri...!
Watu wana account KCB,barclays,standard chattered...