Kuweni na msimamo mmoja kuwanusuru wenzenu kukosa chuo
Migomo ya siku hizi ipo kimaslahi zaidi. Kuna makundi. Siasa za chuo zimeharibu msimamo ulikuwepo miaka ya nyuma. Watakaogoma ni kikundi kidogo sana!
Nawashauri msigome, tumieni busara na njia ya negotiations kuwanusuru wenzenu. Naamini DARUSO ina uwezo wa kushughulikia hili suala badala ya kuwaingiza wanafunzi wengine tena matatizoni!
Migomo ya siku hizi ipo kimaslahi zaidi. Kuna makundi. Siasa za chuo zimeharibu msimamo ulikuwepo miaka ya nyuma. Watakaogoma ni kikundi kidogo sana!
Nawashauri msigome, tumieni busara na njia ya negotiations kuwanusuru wenzenu. Naamini DARUSO ina uwezo wa kushughulikia hili suala badala ya kuwaingiza wanafunzi wengine tena matatizoni!