wewe mbona masaburi yako yamezoea lakini bado unataka?
Jifunze, u ar still young. Hujaingia kwenye majukumu bado. Ukikua utatambua. Endelea tu kulilia boom.wewe zuzu,unamaana gani kwamba udsm imetoa watu makini..wakati kikwete kasoma pale na ni kilaza tena kiazi kabisa!
Kweli upo kazini!
Hahaha, graduates walio makini ndo wametufikisha hapa tulipo, tunatishiwa ucamerun!B.S
kwa swala la boom nawaunga mkono maana dada zangu wengi wamekuwa malaya kisa wanasaka mshiko boom limechelewa
Na sisi tumesoma hapo hapo..usijione kuwa wewe ndiye unajua sana mambo. You are no body little bro, bila wao usingejua hiyo UDSM ni kitu gani, usingejua maana ya boom ni nini.
Ukipata muda, jifunze kidogo abt bodi ya mikopo, labda utapata mwanga kidogo.
nimesoma sana...msijione nyie mliopo chuo sasa hivi ndio wasomi. Kumbuka UDSM ina zaidi ya 50 yrs! Miaka yote walikuwa wanatoka graduates walio makini, siyo wa miaka hii!