UDSM kugoma...

Kweli upo kazini!
Hahaha, graduates walio makini ndo wametufikisha hapa tulipo, tunatishiwa ucamerun!B.S

Na sisi tumesoma hapo hapo..usijione kuwa wewe ndiye unajua sana mambo. You are no body little bro, bila wao usingejua hiyo UDSM ni kitu gani, usingejua maana ya boom ni nini.
Ukipata muda, jifunze kidogo abt bodi ya mikopo, labda utapata mwanga kidogo.
 
kwa swala la boom nawaunga mkono maana dada zangu wengi wamekuwa malaya kisa wanasaka mshiko boom limechelewa

itakuwa hao dada zako ni malaya tu tangiapo, kama boon ndo sababu mbona wengine hawajawa malaya?
 
Mweh, you are no body....... kweri ruga za watu ngumu (wote tumeshoma hapo aroo lol)

 
Wakaazi wa hosteli ya mabibo wamekutana hapa block g kwa ajili ya kupeana route...
 
nimesoma sana...msijione nyie mliopo chuo sasa hivi ndio wasomi. Kumbuka UDSM ina zaidi ya 50 yrs! Miaka yote walikuwa wanatoka graduates walio makini, siyo wa miaka hii!

nadhani miaka ile uongozi wa taifa ulikuwa makini, sio wa miaka hii...
 
Wakaazi wa hosteli ya mabibo wamekutana hapa block g kwa ajili ya kupeana route...

mkuu,me ndo niko kwenye shato pori nakuja huko,ebu nipe kilicho endelea huko.over
 
OEJER una akali saana,sasa unalinganisha elimu na maisha ya chuo kikuu na sekondari.Kweli hivi vitu vinaendana?Utakuwa unatiwa wasiwasi wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…