UDSM Kuna nini kwenye fani ya ununuzi na ugavi?

UDSM Kuna nini kwenye fani ya ununuzi na ugavi?

Lubengera

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2019
Posts
963
Reaction score
1,551
Leo nimekutana na tangazo la ajira kutoka UDSM wanahitaji Procurement Specialist.

Nikajiuliza maswali yafuatayo.

1. Je, UDSM haina wataalamu wa Ununuzi ?
2. Na kama wataalamu wapo, Je, hawana sifa zinazokidhi matakwa ya hiyo kazii?
3. Je UDSM haiwaamini wataalamu wake walioko kwenye sekta ya manunuzi?
4. Je, huyo mtaalamu atakaye patikana nje ya UDSM atawajibika wapi na kwa nani, na Je maidhinisho (Approval) kutoka Bodi ya Zabuni au Kamati za Uchambuzi zitafanyika vipi?
5. Je? Huyo atakaye patikana, anaweza kupata ushirikiano wa kutosha kutoka kwa wataalamu walioko UDSM.

Binafsi nimeona haya ni matumizi mabaya ya rasilimali na dharau kubwa kwa wataalamu waliyoko! kuna uwezekano mkubwa baadhi ya wataalamu wa hapo ndio wamepelekea kufanikisha kupatikana kwa mradi huo.

Wizara kama Kilimo, Nishati na Ujenzi, pamoja na kupokea fedha nyingi sana kutoka WB na mashirika mengine ya kimataifa, imekuwa ikitumia wataalamu wake kutekeleza miradi hiyo? kwanini UDSM imewafanyie watumishi wake ivo?

UDSM kuna nini?
 
Sasa kuna ubaya gani wakitafuta procurement specialist?ulitaka wapeane kimya kimya?
Nadhani hujaelewa swali langu!

Nimeuliza, ivi udsm haina procurement specialist?

Swali langu liko hapo tu!
 
Mkuu hyo n Kaz imetangazwa inatakiwa waombe na si kuteuana ?

Kama Kuna mtu anavogezo kutoka hapo udsm hajakatazwa kuomba



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Hapa ndipo napata tabu, kwanii kupoteza rasilimali wakati tayar wataalamu wapo, na wanafanya kazi hizo hizo daily?

Nimetoa mfano hapo wa wizara zinazopokea fedha nyingi kutoka mashirika ya fedha, lakini imekuwa inatumia wataalamu wake,kwanini hii?

Kwanini watumishi hao kama hawatoshi katika kaI hiyo kwanin wasijengewe uwezo??

Hapa ndipo napata shida kuelewa.
 
Sijaona shida ya tangazo lao, wameita watu wote wanaokidhi vigezo watume maombi ya kazi.

Wangesema waitangaze hiyo nafasi internally mwingine angekuja na kulalamika kusema wanapendelea watu wao pekee.
Tasis zote zingekuwa zinafanya ivi basi kungekuwa hakuna haja ya kuajiri ajira za kudumu!
 
Tangazo limetolewa wenye vigezo waombe, sio kazi ya kuteuliwa ni kazi ya kuajiriwa ukikidhi vigezo ambavyo itajulikana kwa kupitia mchuano wa wazi. Kazi hawaokoti mtu wakambandika ofisini.

Ungekuwa umeweka wahusika wa kutangaza hizo nafasi hapa ningejua ni mmojawapo unajipigia chapuo uonekane unafanya kazi. Ni jambo la kawaida walilofanya na ndio utaratibu taasisi za serikali
 
Tangazo limetolewa wenye vigezo waombe, sio kazi ya kuteuliwa ni kazi ya kuajiriwa ukikidhi vigezo ambavyo itajulikana kwa kupitia mchuano wa wazi. Kazi hawaokoti mtu wakambandika ofisini.

Ungekuwa umeweka wahusika wa kutangaza hizo nafasi hapa ningejua ni mmojawapo unajipigia chapuo uonekane unafanya kazi. Ni jambo la kawaida walilofanya na ndio utaratibu taasisi za serikali
Mkuu, nimeona kwangu jipya kwakuwa nafaham taasis kama ile haiwezi kukosa wataalamu wa mambo hayo!

Mkuu me si mtaalamu wa fani hiyo na niko mkoani udsm hainihusu hata kidog, lakin nimestushwa sana ndio mana nimekuwa na hypothesis za kutosha juu ya wataalamu waliyoko pale.

Kwa uelewa wangu nilidhani ilikiwa ni jambo la capacity building.
 
UDSM kazi nyingi tu huwa wanatangaza kila mtu aombe apambane kivyake.
unaweza kuwa umesoma palepale ukaomba na ukakosa.
 
UDSM kazi nyingi tu huwa wanatangaza kila mtu aombe apambane kivyake.
unaweza kuwa umesoma palepale ukaomba na ukakosa.
Nikweli, katika ajira wako fair,

Issue nayosemea mimi ni mtu anayetafutwa kwenda kufanya kazi iliyotangazwa ambayo kuna wa taalamu tayari., sasa kwanim wasitumie wataalamu wa ndani?, hizo fedha za mchakato wa recruitment kwann zisitumike kwenye mambo mengine muhimu?

I mean sifa ya mtu anayetafutwa naamini pale wapo? sasa msingi wa maswali yangu, ni kwanini pale kuna wataalamu na kila siku wamekuwa wakifanya kazi hizo hizo leo, unasema waombe kazi hiyo hiyo ambayo wamekuwa wakifanya! hii ina maana gani?

Hii inamaana wataalamu waliyoko pale hawaaminiwi??
 
Unajua michakato ya ajira serikalini?
Nafaham, ndio mana hata katika hili nimeona ni matumizi mabaya ya fedha.

Nipe mfano wa wizara zilizotangaza kazi nafasi za ajura kwa mradi flani, wakati ndani ya wizara hizo zina wataalamu husika!
 
Wasipotangaza kazi wakapeana juu juu mtalalamika Tena!au unafanya kazi hapo wamekukwaza?
 
Wasipotangaza kazi wakapeana juu juu mtalalamika Tena!au unafanya kazi hapo wamekukwaza?
Hapana sifanyi kazi huko, nimeona tangazo nikajiuliza maswali mengi,
Halii hii hushusha moral ya watumishi wa kada husika wanao fanya kazi sehemu hiyo.
 
Hapana sifanyi kazi huko, nimeona tangazo nikajiuliza maswali mengi,
Halii hii hushusha moral ya watumishi wa kada husika wanao fanya kazi sehemu hiyo.
Ni kweli, Lakini hakuna namna kwa kuwa Sheria za ajira serikalini zinataka hizo hatua zifuatwe.
 
Ni kweli, Lakini hakuna namna kwa kuwa Sheria za ajira serikalini zinataka hizo hatua zifuatwe.
Haya mambo kumbe huwa yana long story, sikukujua, lakin bandiko hili limenifanya kujua mengi nyuma ya pazia ambayo sikutegemea!

Anyways! kwa taarifa tu, project hiyo nasikia haiko udsm pekee! iko pia katika taasis nyingine ambazo siwezi zitaja jina.

Lakin wao hawajafanya ivo! pia nafasi zilizotakiwa sio procurement pekee tu ni mpaka wahasibu! Ajabu waliotangaza ni moja!

Nilikuwa natoa mrejesho baada ya members flan kunitonya yaliyoko nyuma ya pazia.

Wasalaam!
 
Back
Top Bottom