wadau hii imaekaaje kwa udsm kuwafanyia usaili wanafunzi wanaojiunga na masters ya linguistic mwaka huu kwa wale wanotoka vyuo tofauti na udsm ianamaana hawaamini kuwa kusoma vyuo hivvyo wanafunzi hawana uwezo wa kusoma course husika kwani kuna jamaa yangu kajiunga mwaka huu kafanyiwa usaili ndo kafaulu na kuruhusiwa kusoma yeye kasoma Arusha university