Udsm kwanukia mgomo!

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Hivi sasa wanafunzi wa UDSM Campus ya Mlimani wameanza mchakato wa mgomo.Sasa wapo chini ya Jengo la Utawala wakisoma maazimio yao.Wanapanga kwenda Bodi ya Mikopo kesho.......
 
Wanadai malipo ya pesa za kujikimu ambazo zilipaswa kulipwa kwao.Tayari Utawala wa Chuo ulishawakata fedha walizozikopa Semista iliyopita.Sasa wako barabarani,ingawa hawajaaifunga,ielekeayo Mwenge.Wanaimba'kama sio juhudi zake Nyerere.......'
 
Wanadai malipo ya pesa za kujikimu ambazo zilipaswa kulipwa kwao.Tayari Utawala wa Chuo ulishawakata fedha walizozikopa Semista iliyopita.Sasa wako barabarani,ingawa hawajaaifunga,ielekeayo Mwenge.Wanaimba'kama sio juhudi zake Nyerere.......'

kwa nini wasiimbe kama siyo juhudi za TANU na CCM hasa CCM maana ndo bado ipo, Mzee Nyerere hayupo
 
tomorrow is tomorrow wakuu,i'm in
 
hali hapa ni shwari.haijulikani bado kama patachimbika au la...
 
unajua ukifuatilia sana hii nchi ni ya watu wachache wanao jifanya wao ni miungu watu nikifuatilia mgomo wa college of informatics udom chanzo ni pesa za special fuculty requirements ambazo kunakikundi viongozi wachache wamechakachua fedha leo hii wanasema wanachuo wamegomea laptop,kesho utasikia udsm wamegomea mambo yasiyo ya msingi hivi kweli mtu anaweza agome pasipo sababu za msingi,naomba raisi wa nchi fuatilia kwa kina hii migomo,kama udom college ya iformatics kumejaa viongozi wasio waadilifu na wanaongoza kwa ubabe hasa principle wa college ya informatics.tunaomba tume itumwe hapo chuoni
poleni sana wana udsm akuna kulala hadi kieleweke nchi hii bila mgomo akuna haki,wasomi migomo,madeleva migomo,walimu migomo,wauguzi migomo,je nchi hii inakwenda wapi :israel::bange:
 
Zamani vyuo vikuu walikua wanaguswa na matatizo yoote ya umma na kugoma kushinikiza yapatiwe ufumbuzi siku hizi hawa vijana wanakula chips na yai la kisasa ni waoga balaa wako ki mkopo zaidi!!!
 
Msituangushe madogo,kwenye nchi kama yetu hii ambamo viongozi wanatamani hata kunyonya damu za wananchi wao kwa uroho ni sharti kuingia barabarani,kupiga kunji mpaka kieleweke,

hapo UD ni pagumu sana,tulifanya hvyo 2007,2009. lakini pia mnatakiwa kujitambua kwamba ni kupitia hapo (NKRUMAH) ndo tunaweza kupata taswira ya wasomi wa taifa letu,wanaoweza kuchambua mambo na kudai haki zao kwa hoja na kwa vitendo,The delayed right is the denied right! Solidarity...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…