Udsm ----Muce Accomodation ni utata.

Udsm ----Muce Accomodation ni utata.

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
Tunashukuru TCU imewachagua first year 1200,ni kwamba chuo hiki kishiriki cha udsm bado hosteli hazitoshi,majengo kipindi nasoma Advancehapa 2005 ni yale yale hakuna nyongeza,cha kawaida watu wanapanga nje ya chuo na geto moja wanalala watu4-5.Huko Dar Vip
 
Tunashukuru TCU imewachagua first year 1200,ni kwamba chuo hiki kishiriki cha udsm bado hosteli hazitoshi,majengo kipindi nasoma Advancehapa 2005 ni yale yale hakuna nyongeza,cha kawaida watu wanapanga nje ya chuo na geto moja wanalala watu4-5.Huko Dar Vip

Raha sana kudanganya eti? ili iwe nini sasa? si kila chuo kina hostel kutosha wanachuo wote. Suala la idadi ya watu kukaa kwenye chumba kimoja tena ulichokipanga nje ya chuo, ni maamuzi yenu wenyewe na makubaliano yenu na mwenye nyumba wala si tatizo la MUCE!
 
Watu wengne wapuuzi kweli.Suala la accomodation kwa first year MUCE huwa si tatizo.Tatizo lipo kwa 2nd year&3rd year ambao hawapewi sna priority.
Hata hvyo nyumba za kupanga ni nyingi na zpo jirani kabisa na chuo kwa umbali usiozidi km2.Kwa mf:maeneo ya Makanyagio,Ilala C&B,Denish,Mtwivila,nk.
 
Back
Top Bottom