UDSM kuna utumb.o mtupu yaani hovyo sana hawa DARUSO wote vichaa wachumia tumbo wamenyamaza kimya,kwakweli hawa faida hata kidogo.tena mwaka kesho watapi kura watu 100 tu..
ni kweli kama mpaka sasa hamjapata Bumu la field ni tatizo!lakini sidhani kama hili ni tatizo la UDSM,
tatizo liko pale BODI ya MIKOPO na hazina! ukizingatia tuna serikali Dhaifu, inayoongozwa na ...Dhaifu,
fedha wanachota kwenda kufanyia ufuska tu badala ya kufikiria kufanya mambo ya msingi kwa
wakati muhafaka!
vitu vingi haviendi kwa mjibu wa ratiba na taratibu! poleni sana vijana!
hawa watu wameamua kutukomesha.!!! ndo mana tukigraduate na si tunakua mafisadi... yani leo nipo fidld muda wa lunch watu wanaagiza kuku mi najifanya busy na documents kumbe mfuko hausomi
Nimefanya utafiti nimegundua kuwa pesa ilitoka hazina Alhamisi kwenda bodi, bodi ikapeleka pesa Bank M Ijumaa mchana, Bank M wakahamisha fedha kwend CRDB Jumamosi hivyo UDSM kupitia DVC Mgaya ikatoa cheki kwenda NMB na NBC on the same day. Thanks be to GOD jana jumatatu wenye accounts CRDB walianza kuvuna mpunga, wale wa NBC na NMB watasubiria vya kutosha, hata hivyo kwa mujibu wa Meneja wa NMB Mlimani ni kwamba kumekuwa na mazungumzo kati yao na uongozi wa UDSM ili utaratibu uharakishwe kuokoa jahazi. Kwa wale wa vyuo vingine sijui itakuweje
UDSM kuna utumb.o mtupu yaani hovyo sana hawa DARUSO wote vichaa wachumia tumbo wamenyamaza kimya,kwakweli hawa faida hata kidogo.tena mwaka kesho watapi kura watu 100 tu..
UDSM kuna utumb.o mtupu yaani hovyo sana hawa DARUSO wote vichaa wachumia tumbo wamenyamaza kimya,kwakweli hawa faida hata kidogo.tena mwaka kesho watapi kura watu 100 tu..