UDSM: NI vilio 2 baada ya supp"16/9/2013

RIKAB

Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
47
Reaction score
2
Karibu asilimia 30 ya wanachuo( udsm) walofanya mitihan yao ya supp/special wamejikuta wakidumbukia kwenye kiitwacho carry over,source; mmoja wa wadau wa mambo ya elimu
 
Ahsante kwa taarifa wapi perry? sidhani kama atakuwa amesalimika
 
Karibu asilimia 30 ya wanachuo( udsm) walofanya mitihan yao ya supp/special wamejikuta wakidumbukia kwenye kiitwacho carry over,source; mmoja wa wadau wa mambo ya elimu

that means unahudhuria lecture mbili mbili!! si ndiyo?
 
Vilio tena wakati wanacarry IFM wanaodisco wasemeje
 
...hadhi ya chuo imeshuka sana,so mtapigwa supp mpaka mtie akili...
 
Sasa ARIS mbona sioni matokeo ? yako wapi?
 
ivi ARIS unajuaje kama umepass supp au una carryover maana mm yangu GPA imeongezeka afu kwenye remark wameandika pass ila kwenye sehemu ya maksi za masomo nliyo supp hawajajaza kitu
 
ivi ARIS unajuaje kama umepass supp au una carryover maana mm yangu GPA imeongezeka afu kwenye remark wameandika pass ila kwenye sehemu ya maksi za masomo nliyo supp hawajajaza kitu
Hata mimi ni hivyo mkuuu , GPA imeongezeka ila hawajajaza marks pale
 
Wanatakiwa wawe na retake ili waache ubishooo wa mlimani city na kujiona wao ndo wapo chuo bora tanzania
 
take bow please...nishakukanya kua ctaki mazoea na wewe!

mhh perry, mkuki kwa nguruwe mtamu ila kwa binadam ni mchungu,we si ndio unayeleta mada za vyuo humu.
Mpigamsuli endelea na game,hakuna droo yoyote na perry
 
mhh perry, mkuki kwa nguruwe mtamu ila kwa binadam ni mchungu,we si ndio unayeleta mada za vyuo humu.
Mpigamsuli endelea na game,hakuna droo yoyote na perry

Nishamuweka kwenye mstari kabadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…