Udsm ondoeni hii aibu mnatuangusha bana

Udsm ondoeni hii aibu mnatuangusha bana

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
udsm aibu.jpg

Nilikua natembelea website ya chuo cha ukweli nikastuka kidogo nilipokutana na hiyo link ya .pdf ambayo lugha yake sikuielewa kidogo,wadau nisaidieni.....hapa mtu akinyimwa kazi akapewa alie serious utasikia oooh aaaaah eeeh...tukipewa kazi jiiiiiiiiiii shame on you.......http://udsm.ac.tz/postgraduate/postgraduate_prosp.pdf
 
alipitiwa kidogo tu, halafu mwalimu wake hakumfundisha hayo mambo
 
Wanakomaa na wale graduates wa miaka ya 90, kiukweli hawajui kitu. kozi moja ikigoma kusajili kwenye system ni ishu, msela wangu anahangaika mwezi wa pili sasa. aaagh!
 
Back
Top Bottom