kwa wale wanaodhani kua zile herufi za mwisho kwenye matokea ya o level ni grade ya mkopo sio sahihi.Kama ukiangalia matokeo ya watu wengi o level hayaja kamilika sababu ile space ni too short kuandika kila kitu. as a result zile herufi ni mwanzo tu wa somo jingine mfano A ni agriculture, B ni basic mathematics au book keeping, C ni chemistry ama commarce......kama ukitaka kuhakikisha angalia wote mnaosema wamewekewa grade B, hawana basic maths results/book keeping, ambao hawana erufi/grade ni waliochukua masomo machache(8) hivyo kutoshea .nawasilisha wakuu
nadhani hilo litakua somo la ufundi....ntalifanyia uchunguzi zaid
mh! Sidhani kwa sababu kuna mchizi wangu tumeskul nae kaandikiwa R na skul yetu kulikuwa hamna hilo somo
kwa wale wanaodhani kua zile herufi za mwisho kwenye matokea ya o level ni grade ya mkopo sio sahihi.Kama ukiangalia matokeo ya watu wengi o level hayaja kamilika sababu ile space ni too short kuandika kila kitu. as a result zile herufi ni mwanzo tu wa somo jingine mfano A ni agriculture, B ni basic mathematics au book keeping, C ni chemistry ama commarce......kama ukitaka kuhakikisha angalia wote mnaosema wamewekewa grade B, hawana basic maths results/book keeping, ambao hawana erufi/grade ni waliochukua masomo machache(8) hivyo kutoshea .nawasilisha wakuu
umejitahidi kufikiri lakini umekosea.ile inaitwa mean grade ya masomo yako
umejitahidi kufikiri lakini umekosea.ile inaitwa mean grade ya masomo yako
fafanua zaidi kaka???mean grade ya somo kvp yaaani???
Tcu inaua taaluma tanzania. Vijana angalieni kwa jicho la pili. Hakuna anayehangaika kwa ajili ya maisha yako. Ni vyema wawe wakweli kama kazi imewashinda. Bado nafanyia utafiti nitoe report ya kueleweka na nini muaafaka wa wanyonge wanaopuuzwa hata ktk mambo ya msingi kama elimu. Nitarudi.