Nimekuwa nikifuatillia mijadala kadhaa kuhusiana na ubora wa elimu ktk vyuo vikuu vyetu hapa TZ na wengi wakitoleana maneno
yenye kadhia na wengi wao wanapigia upatu vyuo vya UDOM na UDSM.Vijana wanagombea fito ilhali nyumba ni moja!Mimi ninafikiri watz
wangejadili vile vyuo ambavyo hata udahili wake haukidhi vigezo vya TCU.vyuo hivyo TCU inavifahamu na bado inavifumbia macho.
kwa mfano kuna vyuo vikuu vinadahili wanafunzi wenye div 4 hadi pts 29!Je tunategemea nini?Nadhani tuendelee kuvipa moyo vyuo vikuu
vyenye kuonesha azma ya kuliendeleza taifa letu na si kuviponda.hivi mulitaka hadi leo tuwe na UDSM pekee?Je mulitegemea UDSM ingetoa promo ili wanafunzi wakasome hapo?tazama sasa wanafanya hivyo,haya ni maendeleo makubwa.waswahili wanasema mkeo akiwa na gubu
muolee mke wa pili.Tukumbuke Roma haikujengwa siku moja.Naomba nimalizie kwa kusema hivi tutoe michango itakayoboresha elimu yetu
ya juu kwa mustakabali wa nchi yetu.
SCHOOLING IS USELESS BECAUSE SCHOOLS ARE MAKING PEOPLE MORE STUPID AS HOSPITALS ARE MAKING PEOPLE MORE SICK:IVAN ILLICH 1926-2002.
yenye kadhia na wengi wao wanapigia upatu vyuo vya UDOM na UDSM.Vijana wanagombea fito ilhali nyumba ni moja!Mimi ninafikiri watz
wangejadili vile vyuo ambavyo hata udahili wake haukidhi vigezo vya TCU.vyuo hivyo TCU inavifahamu na bado inavifumbia macho.
kwa mfano kuna vyuo vikuu vinadahili wanafunzi wenye div 4 hadi pts 29!Je tunategemea nini?Nadhani tuendelee kuvipa moyo vyuo vikuu
vyenye kuonesha azma ya kuliendeleza taifa letu na si kuviponda.hivi mulitaka hadi leo tuwe na UDSM pekee?Je mulitegemea UDSM ingetoa promo ili wanafunzi wakasome hapo?tazama sasa wanafanya hivyo,haya ni maendeleo makubwa.waswahili wanasema mkeo akiwa na gubu
muolee mke wa pili.Tukumbuke Roma haikujengwa siku moja.Naomba nimalizie kwa kusema hivi tutoe michango itakayoboresha elimu yetu
ya juu kwa mustakabali wa nchi yetu.
SCHOOLING IS USELESS BECAUSE SCHOOLS ARE MAKING PEOPLE MORE STUPID AS HOSPITALS ARE MAKING PEOPLE MORE SICK:IVAN ILLICH 1926-2002.