UDSM waapa Kugomea watoto 1600 waliokosa Mkopo

UDSM waapa Kugomea watoto 1600 waliokosa Mkopo

Janja PORI

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2011
Posts
825
Reaction score
246
Tetesi toka Mabibo hostel. Kundi la wanaharakati wametoka mikoani kwa jili ya kutetea first yearz 1600 waliokosa mkopo first year mtaokuja UDSM mjipange Kunji
 
Haujui ulichoandika. Kaa kimya.
 
bora iwe ivo manake udsm ni ktov na inasikilizwa kama ule mchongo wa kuongeza hela ya boom ilianzia wap? kama vp wafanye kwel ili na ss wa vyuo vngne 2nufaike.. wanao beza taarifa hi ujue wanamkopo!!!
 
Ofcoz kunji lazima liwepo mwaka huu.
 
bora iwe ivo manake udsm ni ktov na inasikilizwa kama ule mchongo wa kuongeza hela ya boom ilianzia wap? kama vp wafanye kwel ili na ss wa vyuo vngne 2nufaike.. wanao beza taarifa hi ujue wanamkopo!!!
Ni sahihi kabisa tunaomba muendelee na zile harakati zenu za kudai pesa ya shoe polish mutasaidia sana vyuo vingine,mukishafanikiwa anzisheni mgomo wa nyongeza ya boom kwa ajili ya sigareti .tehe tehe tehe
 
Mie nmepata 1.6 cjapata mkopo, leo hii npo tayari roho yangu itoke ili kusaidia vijana wajao watakaopigika kupata one wapewe mkopo!
 
Back
Top Bottom