Inawezakana siwafahamu jack labda unieleweshe NI WAPI HAo.sina uhakika na ntwk kama sitajibu ujuwe sipati mtandao ila nitarejea kusoma response zako anytime
Aaahahaha,is dat the best u came with dear jack.common guy try hard boy i know you can
Kilaza ndiye anapaswa kujua four inaishia ngapi na zero inaanzia wapi lakini mtabe yeyote anapaswa ajue tu one inaishia wapi na kama ni kichwa zaidi single digit zinaishia wapi full-stop.
I was not aware that kibonde is highly valuable and respectable and enfluence person in dis country so as wasoma wanaandamana to be against his point of view.
Nijuavyo mimi kibonde is nothing anatumia uhuru wake kusema maoni yake kutokana na level ya uelewa wake.
So kwanini wasomi wetu wapoteze muda kwa maoni ya mtu kama kibonde? upuuzi.
JF ndio nani??Nasubiri siku ambayo wataandamana kwa kuitwa majuha na JF!
Kakakiza amelonga kibonde c issue kuna issue za maana kibao tu badala ya kumpa ujiko huyo kibonde tatizo mnoveract ona saa mshaanza kusema nko majuu mnanipa chati eeh.mwenzenu hata isbania sijavuka.ANYWAY PEACE nisiwakoroge sana wasomi wetu.
Ndie wewe...JF ndio nani??
dear jack....ooh,sorry jack.....
Sorry
ninashaka na elimu yako wewe, hata hujui four inaishia point ngapi? tena point 28 unazozitaja hauna hata hakika nazo bali unadhani tu! Usitake kuupotosha UMMA.
Kaka nijuavyo mimi ukiwa na D mbili basi unakuwa na div 4 ya points 28 na nadhani ndio ya mwisho na ikiwa utapata D moja basi unakuwa na points 29 na unapata Div 0 sasa ikiwa ni kweli ana points 33 basi ana ziro na kama akiwa na D mbili atakuwa amepata Div 4