Inawezekana kabisa kuwa wewe hukumalizia form four Tanzania labla umemalizia nje ya Tanzania. Kabla ya kukosoa mtu unatakiwa kujiridhisha kwanza kuwa unachotaka kufanya kinaukweli gani na alichofanya mwenzako kina uongo gani.
Mfumo wa ukokotoaji wa points kwa form four kama hujui upo hivi. Kwanza ili uitwe school candidate ni lazima u-seat mitihani isiyopungua saba katika shule iliyosajiliwa na uwe unafanya mitihani kwa mara ya kwanza. Kwani points huwa zinaangaliwa kutokana na masomo saba uliyofanya vizuri. Mtiririko wa points upo hivi (A = 1; B = 2; C = 3; D = 4 and F = 5). Sasa utaona kuwa katika masomo saba ukipata "A" yote unakuwa na Division one ya Points 7 the highest you can get. Na ukipata F yote unakuwa division 0 ya points 35. Division zero huanzia points 34 na division four huishia na points 33 kama umepata D mbili tu and the rest "F" ( 5 points for five Fs = 25points plus 4 points for two Ds unakuwa na points 8 jumla points 33).
Kaka nijuavyo mimi ukiwa na D mbili basi unakuwa na div 4 ya points 28 na nadhani ndio ya mwisho na ikiwa utapata D moja basi unakuwa na points 29 na unapata Div 0 sasa ikiwa ni kweli ana points 33 basi ana ziro na kama akiwa na D mbili atakuwa amepata Div 4
Unajua bana hata mimi nashangaa watu eti manaoitwa wasomi wa chuo kikuu. Wao wanaandamana kueleza mawazo yao, waziri kesho anakuja udsm kuwasikiliza. Lkn wao wanachuo hawawezi kusikiliza mawazo ya mtu yeyote anaewapinga. Hi ndio democrasia ya chadema? Waseme wao tu.
Ama kweli mtwana ni mtwana tu hata akiwa na degree ngapi hawezi kufanya la maana. Natamani arudi tena adolf hitler ate awatawale tena hawa watanganyika. Au waje makaburu wa afrika ya kusini ndio mutanyooka. Nyie munataka muendeshwe kama punda kwa magongo. Ustaarabu wala uhuru wa kutoa maoni hamuuwezi. Kwendeni zenu.
@mtabe ,una lugha mbaya sijapata ona dunia nzima ni kwako tu duh!!Jione ulivyokurupuka na kuforce kuandika kiswahili kibovu na kujitutumua :-
-democrasia-ni demokrasia
-bana-ni bwana
-Anaewapinga-anayewapinga
-ate-aje
-mutanyooka-mtanyoka
-munataka-mnataka,duh hadi nimechoka ,hebu kwanza fanya masahihisho then uandike upya ndo tukuelewe maana ya hoja yako,halafu kumbuka kwa kila noun au majina tunaanza capital letter ,vp unatumia simu ya ki-china ,hyo si hoja yangu but wot i want to tell you bro. penda kuchangia mada with gud reasons au ka vp karudi tuition ya lugha mana lugha yako inakera hadi unaonekana unaongea pumba,nawasilisha kwako mtabe
Jamani hizo d,na f,na kibonde ndyo nini mleta mada umeingiajd chuo kikuu cha Tanzania???kama mnaweza kushikamana kwa ajili ya Kibonde anayetetea mkate wake kwakuongea??kosa lake nini??au hamjui kazi yake??yeyr asipoongea watoto hawaendi chooni bila kujali ameongea nini!!!yeye kazi yake nikuongea siku ipite!!Pili mshikamano wenu kama wana chuo tena chuo kikuu nilitegemea mmeandamana katika maswala ya msingi,kama mikopo,Kupandishwa bei bidhaa,Dowans Si hivyo greathinker mwenzangu, yeye yuko katika media, na wengi wanategemea habari toka huko, sasa noma iko pale anapopotosha ukweli. Bro hata wewe ungemsikia ungechefuka!
Wasomi wa tz bana,mnajiona mko matawi kufika varsty na mnataka tuwatreat as if u r GOD..ticks me off ,kwa usomi gani ,show me a single inovation u did ...NOTHING...usomi wa kukalili what is bunsen burner ndo maana mnacopy ata maandamano ya EGYPT sasa ndo ivo misri watashimdwa nanyi vilevile.
Mh kwani kibonde ni nani...inaonekana anawapa headache sana POLENI VIJANA mtakua tu msijali sana
Wanafunzi wa chuo kikuu cha mlimani wanaokaa mabibo hostel na wale wa kampasi wameanzisha tena solidarity na maandamano yao yanalengo moja la kupinga matamko ya chooni,ya kukurupuka ,yakijinga ya shosti.kibonde dhidi ya madai yao ya msingi,maandamano yameanza muda wa saa 2330 pm na utawasikia wanaimba kibondeee kibondeee,na kama asipokuwa makini wanaweza kumuharibia hata kaukumbi kake ka-disko kanaitwa club le mambo kapo pale external,oooh hv jamani tumfanye nini huyu mnyama jamani?
[B said:Elungata[/B];1589335]Wasomi wa tz bana,mnajiona mko matawi kufika varsty na mnataka tuwatreat as if u r GOD..ticks me off ,kwa usomi gani ,show me a single inovation u did ...NOTHING...usomi wa kukalili what is bunsen burner ndo maana mnacopy ata maandamano ya EGYPT sasa ndo ivo misri watashimdwa nanyi vilevile.
Mh kwani kibonde ni nani...inaonekana anawapa headache sana POLENI VIJANA mtakua tu msijali sana
[B said:Elungata[/B];1589384]Naöna mnabishana tu calculation za division sijui point a lot of BS huyö kibonde achaneni naye SOMENI EBO.
Afu mkiandamana mfanye ya ukweli cio mnaigiza maandamano gani hamna hata wanatandikwa risasi,wapi ushujaa wenyu?
Lazma mjitolee ajili ya nchi hii SAWASAWA?
[B said:Elungata[/B];1589414]Inawezakana siwafahamu jack labda unieleweshe NI WAPI HAo.sina uhakika na ntwk kama sitajibu ujuwe sipati mtandao ila nitarejea kusoma response zako anytime
[B said:Elungata[/B];1589690]Aaahahaha,is dat the best u came with dear jack.common guy try hard boy i know you can.
Kama nimeotea yani poor ntwk anywy mara hii mshanipachka uahouseboi .very interesting haya endeleni kuonyesha usømi wenu wasomaji watajurge who is a nutjob and who is not.
Eti tatizo ni miafrika...ooh,sorry jack sikujua kumbe mwenzangu MZUNGU,..by da way which univest are u boy ,STANFOD .
Sorry mi c kibonde kwani jamaa kafanyaje au ndo anayebana mikopo
kweli wewe kibonde ni kiazi, huwezi hata kuficha identity yako!!
Kilaza ndiye anapaswa kujua four inaishia ngapi na zero inaanzia wapi lakini mtabe yeyote anapaswa ajue tu one inaishia wapi na kama ni kichwa zaidi single digit zinaishia wapi full-stop.
kubali umechemka na uombe msamaha.kipanga anajua kila kitu hata mambo yasiyohusu masomo.
Kiboonde mwenyewe hana jipya tangu apewe wadada katika jahazi ashakuwa shosti anakera bora kipindi waachiwe wadada ila udsm student wameanza kukosa mwelekeo wa elimu na hadhi yao ya kuitwa wanafunzi wa elimu ya juu eti wanandamana kwa kibaraka kama kibonde hawana hata haya wanatakiwa watoe hoja za msingi na cyo upumbavu kama wanaofanyanafikiri wanajishusha hadhi yao hao wanafunzi! Who is kibonde in this country? To me he is just a cheap puppet being used by stupid ****** who think tanzanians of this era are still watching without seeing as they used to be... Ignore him he has enough problems with his health already
Wanafunzi na mtoa mada wote wapumba**. Is like kichaa achukue nguo zako mtoni ukiwa unaoga uanze kumkimbiza ukiwa uchi. Kisa? Unataka umnyang'anye nguo zako