VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Chunga mdomo wako dogo.Hujui vizuri kiingereza au? Hivi Alumni ni mwenye supp? Si kosa lako,bado ni mwanachuo.Mimi nimehitimu 2009.Hukuwepo hata A-LevelNdio nini sasa unajisifia kupata supp
Ndio nini sasa unajisifia kupata supp
We acha ujuaji,mtafute RAS SIMBA akunoe ubongo ...
Mimi nimemaa nisha kwamba anasifia /wanachuo\chuo kwa kutoa supp
Acha ubabaishaji na longolongo dogo....nanukuu post yako uliyoi-delete
"Ndio nini sasa unajisifia kupata supp"...hapo kuna uhusiano gani na maneno yako ya hapo juu???