<br />Mbona kwenye hiyo list sikuiona Muhimbili University, chuo cha madaktari bingwa???????? bongo bwana eti madaktari bingwa... lol
<br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
mhh, sasa hizo chuki binafsi, au kwa vile umefeli mitihani ya law school, haya tuambie tumain, st.augustin, udom, mzumbe za ngap? Hata kwenye list hazipo. <br /><br />
Siasa zinaua elimu ya tanzania.
<br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
mhh, sasa hizo chuki binafsi, au kwa vile umefeli mitihani ya law school, haya tuambie tumain, st.augustin, udom, mzumbe za ngap? Hata kwenye list hazipo. <br /><br />
Siasa zinaua elimu ya tanzania.
Una fikra finyu mno.Ukue basi ndgu maana Watz tukiendelea kufikiria namna hii tutazidi kuwa masikini. Ina maan wew hujaona point yeyote zaidi ya hiyo?huna lolote ulitaka tujue tu kwamba upo ulaya
huna lolote ulitaka tujue tu kwamba upo ulaya
<br />chuo kikuu cha udsm ni takataka.hata hiyo namba wamepewa bahati mbaya.nilisoma hapo LAW SCHOOL NILICHOONA NI AIBU TU.VYOO VIBOUU na miundo mbinu ni ya miaka ya sabini.walimu wana roho mbaya kwa sababu ya umaskini na ukimwi.na wanafunzi wa kike makahaba.mtoto wangu atasoma ulaya,south africa au vyuo binafsi. UDSM NI UCHAFU.
siyo bure una lako jambo!<br /><br />
<br /><br />
NDUGU YANGU NAANDIKA NILICHOKIONA.NILIPOKUWA UDSM SIKUONA CHUO NILIONA TAKATAKA.HAYA NI MAONI YANGU.KWANGU MTOTO WANGU HATASOMA HILO DANGURO NA SHULE YA KATA PERIOD.
Umeona eeh jamaa walikula kichwa huyu, si bure. Kwake chuo kikuu ni majengo<br /><br />
<br /><br />
We kilaza ulizoea kumezeshwa sasa umekwenda pale umefeli law school unaleta stress zako,UDSM cyo takataka na ufute kauli yako,angalia Law school wanaofaulu wengi wametoka wap? Hapo hapo unapopaita takataka....2meapishwa na kupata mihuri,so malizia vimeo vyako uje uwe wakili.
jenga hoja badala ya kuleta mipasho, tuambie hayo magofu yanashusha vipi elimu? Hivi hata pale UDBS kuna unayoyaita magofu?Mnaonipinga wazazi wenu hawakuwekeza kwenye elimu mkabaki kupata elimu mbovu na ya chini ya kiwango inayotolewa na Serikali.Matokeo yake mkasoma shule mbovu tangu shule ya msingi mpaka Chuo Kikuu(UDSM).Ndio maana kuna watu wanaojiita wasomi wakifungua midomo yao mnajificha chini ya meza maana hamna kitu.ukweli mnaujua kaeni na hilo LICHUO LENU CHAKAVU KAMA MAGOFU YA BAGAMOYO.
<br />huna lolote ulitaka tujue tu kwamba upo ulaya
Hahah..chuo kikuu cha udsm ni takataka.hata hiyo namba wamepewa bahati mbaya.nilisoma hapo LAW SCHOOL NILICHOONA NI AIBU TU.VYOO VIBOUU na miundo mbinu ni ya miaka ya sabini.walimu wana roho mbaya kwa sababu ya umaskini na ukimwi.na wanafunzi wa kike makahaba.mtoto wangu atasoma ulaya,south africa au vyuo binafsi. UDSM NI UCHAFU.