Hahah..
Sikushangai.. jina lako linakusadifu wewe ni mtu wa aina gani!
Kwa Tanzania sioni chuo chochote chenye quality ya UDSM
Kwa hali kama ile mlimani lazma tu kiwango cha elimu kishuke, kwa sasa pale ni siasa mbele, elimu baadae na ndo maana migomo haiishi pale,wanafunzi wa pale full stress!!!!!!!
habari zenu wakuu,mwaka huu mwezi wa tatu udsm ilikuwa 25 kwenye best universities in africa ila list mpya ya july udsm imeshuka vibaya sana mpaka 38
angalia hapa Ranking Web of World universities: Top Africa
je wadau tuishauri nini serikali yetu ili kuboresha vyuo vyetu?
mimi binafsi namalizia bachelor yangu ya telecommunications & computer science engineering hapa europe,hiki chuo ninachosoma 4 years ago wakati naanza kusoma kilikuwa miundo mbinu yake mizuri ila sio sana ila katika kipindi hiki cha miaka minne wameboresha kila kitu kuanzia majengo ya kufundishia,kuongeza waalimu,kozi mpya nyingi sana zimeanzishwa,mabweni ya wanafunzi yameboreshwa sana,student exchange program imeboreshwa zaidi yaani mamia ya wanafunzi wanakuja na wengine kwenda nchi mbalimbali kubadilishana ujuzi na serikali yao ndio inalipia gharama zote hizo.
yaani ndani ya miaka minne hii kwa kweli nikiwaangalia roho inauma sana, sijui serikali yetu hawawezi kuiga mambo kama haya,dah tanzania bado tuna safari ndefu sana kwa kweli
Elimu ya UDSM saizi imekua more centred on videsa as a source of the University degree... Library kubwaaa.... lack of updated and crucial content, the students are so set on their course works and diverging getting a sup rather than polishing their GPAs... A university student anapewa Take home assignment ya maybe 10-15 marks ten day before siku ya kukusanywa, then anaifanya before one day using a single kidesa... no books or different studies/school of thoughts on the issue at hand... kikubwa zaidi ni google - copy and paste with high techniques of editing....
Majority ya students at UDSM ni wale from families za chini ambazo hawana uwezo wa ku sustain maisha - bado mwanafunzi aje Campus na pressure ya delay ya boom, hapo hapo kapangwa grade "C" ya mkopo (ana ironically yule alotoka familia yenye uwezo anapata grade "A" - Kwa vigezo gani?? Only HESLB can answer that); Hana mahala pa kulala wala muelekeo... by the time s/he is settled.... inakua imepunguza makali yake.
Una hasira na muhimbili. NI KWELI HUWEZI KULINGANISHA MUHIMBILI NA UDSM, MUHAS WAKO JUU SANA KWENYE PRACTICAL ISSUES. KINGINE NI SUA, HUWEZI KULINGANISHA ELIMU WANAYOPATA WATU WA SUA & MUHAS NA WADESAJI WA UDSM. UDSM NI JINA TUU BUT PRACTICALLY IT IS A CRAP.HAKUNA KITU PALE NI SIASA TUU, UKIMWI, MISONGAMANO YA WANAFUNZI, ELIMU YA CHINI KABISA, VYOO VICHAFU, LECTURERS WABABAISHAJI NA WANAFUNZI PIA. HUO NDO UKWELI WOTE. Kumbuka I am also a graduate wa paleMbona kwenye hiyo list sikuiona Muhimbili University, chuo cha madaktari bingwa???????? bongo bwana eti madaktari bingwa... lol
Una hasira na muhimbili. NI KWELI HUWEZI KULINGANISHA MUHIMBILI NA UDSM, MUHAS WAKO JUU SANA KWENYE PRACTICAL ISSUES. KINGINE NI SUA, HUWEZI KULINGANISHA ELIMU WANAYOPATA WATU WA SUA & MUHAS NA WADESAJI WA UDSM. UDSM NI JINA TUU BUT PRACTICALLY IT IS A CRAP.HAKUNA KITU PALE NI SIASA TUU, UKIMWI, MISONGAMANO YA WANAFUNZI, ELIMU YA CHINI KABISA, VYOO VICHAFU, LECTURERS WABABAISHAJI NA WANAFUNZI PIA. HUO NDO UKWELI WOTE. Kumbuka I am also a graduate wa pale
evidence unayo hapo nilipo board!!!?chuo kikuu cha udsm ni takataka.hata hiyo namba wamepewa bahati mbaya.nilisoma hapo LAW SCHOOL NILICHOONA NI AIBU TU.VYOO VIBOUU na miundo mbinu ni ya miaka ya sabini.walimu wana roho mbaya kwa sababu ya umaskini na ukimwi.na wanafunzi wa kike makahaba.mtoto wangu atasoma ulaya,south africa au vyuo binafsi. UDSM NI UCHAFU.
suluhisho la uliyo ya taja ni ipi!!!!?Kushuka kwa UDSM kwny hiyo Rank kwachangiwa na sababu zisizopungua 3 kuu.
1.SIASA
Kuanzia chuoni UDSM mpaka serikalini, UDSM pamekua jikwaa la siasa Ukada ndio umekua Ukada. Wewe kama sio wa magamba basi wa magwanda, tumesahau wanafunzi kilichotuleta pale. Pamoja na hayo tumekua chachu ya kutatua matatizo ya wanachuo nchini ila kudeseka kumepungua mno.
2.WAALIMU
Kua mwalimu asiena mapenzi ya dhati na kazi yake, prof. kaweka siasa mbele+ujasiriamali hapo hujachanganya mbinu mbovu za ufundishaji basi tunatengeneza bomu la Hiroshima.
Wengi wa waalimu wa UDSM ni source ya stress kwa wanafunzi, wengine ni kopy paste madesa na wengine mwanafunzi akija na ki2 kipya basi amekosa. Tatizo la kutuletea waalimu based on 1st class GPAz za madesa inatukost mno..
3.WANAFUNZI
Mitaala ya course za chuoni haijatulia kabisa,system ya ufundishaji na kupimia wanafunzi yatupeleka kua watu wa madesa oriented.mzazi wangu kaniambia nikasome nifaulu vizuri,nimefika UDSM CoET nakutana na mafunzo ya uhandisi yanihitaji nikariri zaidi ya kuelewa ili nisifeli.
Mpango wa kila mwanafunzi alomaliza fom 6 asome chuo kikuu inatukost pia,mwaka wa masomo uliopita UDSM wameletewa 1st years zaidi ya 5000 mara mbili ya mwaka wa masomo uliopita. Hapo ni kuleta vilaza na hata wanaostahili kua katika hatari ya kutoka vilaza pia.
Hatuko siriaz na masomo, starehe zimekithiri UDSM hakuna atakayenibishia katika hili.hata kama mtoto wa mkulima,hakuna ROHO kongwe ROHO isiyopenda mazuri basi hapo ndio twapotea kabisa kielimu kwa kuendekeza ujana.
4.SERIKALI
Zilianza shule za kata matokeo yake wahitimu wa elimu ya kidato cha nne wameongezeka na walioelimika na elimu hiyo ya kidato cha nne wanapungua siku hadi siku. Sasa naona serikali imehamisha majeshi Elimu ya juu, idadi ya vyuo vikuu TZ inaongezeka kwa kasi ya ajabu.kisa ni nini?!mtoe elimu mbovu tushindwe kushindana kwenye soko la ajira?!tuzidi kua wajinga ili mtutawale vyema?!elimu ya Chuo kikuu Tanzania yazidi kudharaulika je wa kulaumiwa nani kama sio serikali na mipango mibovu ya elimu!!TCU+HESLB ni mwiba kwenye elimu ya juu Tanzania,na tutazidi kuporomoka kielimu kama serikali haitajirekebisha.
Hitimisho:
Nina mengi sana ya kusema ila niishie hapo uhondo wa ngoma uingie ndani ucheze,naona wana JF wenzangu wanakoment kuhusu topic na naona wengine wanasema tu ya kuona na kuyasikia juu ya UDSM.Jamani jamani niliye ndani huku kwa muda huu naona uhondo wake,inasikitisha sana ila nitafanyaje maana machozi yangu yaweza fanana na samaki.
Huo hapo juu ni mtazamo wangu mwanafunzi wa UDSM niliekuepo UDSM toka 2008 mpaka sasa.
<br />suluhisho la uliyo ya taja ni ipi!!!!?
<br />Hahah..<br />
Sikushangai.. jina lako linakusadifu wewe ni mtu wa aina gani!<br />
Kwa Tanzania sioni chuo chochote chenye quality ya UDSM
Where is Mzumbe, Tumaini, UDOM and SUA?