nilidhani watu wema na wachamungu watanielekeza format ya barua inakuwaje bali watu wanajionesha kuwa wanajua ili tuonekane washamba.niseme tu niliuliza kwa nia njema usitafute umaarufu maana umaarufu wa binaadam ni of a very short time brothers.nashukuru kwa mliochangia
masaada
jinsi ya kuandika barua ya kubadilisha course ndugu zangu wa udsm.
Natoka geology(conas)[font=comic sans
ms] kwenda bcom[/font](udbs)
nilidhani watu wema na wachamungu watanielekeza format ya barua inakuwaje bali watu wanajionesha kuwa wanajua ili tuonekane washamba.niseme tu niliuliza kwa nia njema usitafute umaarufu maana umaarufu wa binaadam ni of a very short time brothers.nashukuru kwa mliochangia