Chachasteven JF-Expert Member Joined Jul 4, 2014 Posts 1,941 Reaction score 2,044 Jun 4, 2015 #1 Wakuu kuna hii kozi ya bachelor of science in aquatic science and fisheries, inayotolewa hapa UDSM.. Naomba kujulishwa kuhusiana na soko lake la ajira lipoje.? Hususan kwenye kuajiriwa na kujiajiri.!! Karibuni jamani kwa mawazo yenu...%
Wakuu kuna hii kozi ya bachelor of science in aquatic science and fisheries, inayotolewa hapa UDSM.. Naomba kujulishwa kuhusiana na soko lake la ajira lipoje.? Hususan kwenye kuajiriwa na kujiajiri.!! Karibuni jamani kwa mawazo yenu...%
Dindai JF-Expert Member Joined Mar 12, 2012 Posts 931 Reaction score 1,659 Jun 4, 2015 #2 njoo usome bsc chemistry iko Poa sana ni PM
Chachasteven JF-Expert Member Joined Jul 4, 2014 Posts 1,941 Reaction score 2,044 Jun 4, 2015 Thread starter #3 Poa mkuu tyar
M mazaga one JF-Expert Member Joined Apr 16, 2015 Posts 2,514 Reaction score 4,042 Jun 4, 2015 #4 Nyanda Dindai said: njoo usome bsc chemistry iko Poa sana ni PM Click to expand... MKuu vp nami naihitaji kusoma hiyo kozi ikoje lakini kwenye soko la ajira
Nyanda Dindai said: njoo usome bsc chemistry iko Poa sana ni PM Click to expand... MKuu vp nami naihitaji kusoma hiyo kozi ikoje lakini kwenye soko la ajira
M mazaga one JF-Expert Member Joined Apr 16, 2015 Posts 2,514 Reaction score 4,042 Jun 4, 2015 #5 Nyanda Dindai said: njoo usome bsc chemistry iko Poa sana ni PM Click to expand... Mkuu nami nahitaji kusoma hiyo kozi
Nyanda Dindai said: njoo usome bsc chemistry iko Poa sana ni PM Click to expand... Mkuu nami nahitaji kusoma hiyo kozi
M Molembe JF-Expert Member Joined Dec 25, 2012 Posts 9,917 Reaction score 11,801 Jun 4, 2015 #6 mazaga one said: MKuu vp nami naihitaji kusoma hiyo kozi ikoje lakini kwenye soko la ajira Click to expand... Unawaza kuajiriwa karne hii.
mazaga one said: MKuu vp nami naihitaji kusoma hiyo kozi ikoje lakini kwenye soko la ajira Click to expand... Unawaza kuajiriwa karne hii.
munirah JF-Expert Member Joined Mar 13, 2015 Posts 551 Reaction score 224 Jun 4, 2015 #7 Ni kozi nzuri maana utaweza pia kujiajiri ktk sekta ya samaki kwa kuanzisha mabwawa ikakulipa