Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074

Katika miaka ya 1950 yawezekana ilikuwa mwaka wa 1958 au 1959, Kabaka wa Uganda Edward Fredrick Mutesa II alimpeleka mwanae wa kiume Zanzibar akiwa mgeni wa Sayyid Khalifa.
Picha hiyo hapo chini ilipigwa nyumbni kwa Sultani Zanzibar.
Huyu kijana aliyeletwa Zanzibar sasa ndiye Kabaka wa Buganda:
1. Princess Amal bint Khalifa
2. Bi Khola bint Said Al-Busaidiyah
3. Yaya wa Prince Mutabi
4. Prince Sayyid Jamshid bin Abdalla bin Khalifa (Baadae akawa Sultan wa Zanzibar)
5. Sayyida Nunuu bint Ahmed Al-Busaidiyah (Mke wa Sayyid Khalifa bin Harub, Sultan wa Zanzibar)
6. Prince David Ssimbwa, mdogo wake Kabaka Mutesa II. (Prince David amefariki November 2014)
7. Prince Mutebi (he is now Kabaka Ronald Muwenda Mutebi II of Buganda)
8. ADC to the Kabaka Mutesa II
9. Bi Samira bint Salim Al-Maamariyah
10. & 11. Wageni kutoka kwa Kabaka
12. Shaikh Mohammed bin Abeid Al-Hajj
13. Sayyid Soud Ahmed Al-Busaidy
14 Riadh bin Abdalla Al-Busaidy