Udugu uliokuwapo baina ya Sultan wa Zanzibar, Sayyid Khalifa bin Harub na Kabaka Mutesa wa Buganda

Udugu uliokuwapo baina ya Sultan wa Zanzibar, Sayyid Khalifa bin Harub na Kabaka Mutesa wa Buganda

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074


Katika miaka ya 1950 yawezekana ilikuwa mwaka wa 1958 au 1959, Kabaka wa Uganda Edward Fredrick Mutesa II alimpeleka mwanae wa kiume Zanzibar akiwa mgeni wa Sayyid Khalifa.

Picha hiyo hapo chini ilipigwa nyumbni kwa Sultani Zanzibar.
Huyu kijana aliyeletwa Zanzibar sasa ndiye Kabaka wa Buganda:

1. Princess Amal bint Khalifa

2. Bi Khola bint Said Al-Busaidiyah

3. Yaya wa Prince Mutabi

4. Prince Sayyid Jamshid bin Abdalla bin Khalifa (Baadae akawa Sultan wa Zanzibar)

5. Sayyida Nunuu bint Ahmed Al-Busaidiyah (Mke wa Sayyid Khalifa bin Harub, Sultan wa Zanzibar)

6. Prince David Ssimbwa, mdogo wake Kabaka Mutesa II. (Prince David amefariki November 2014)

7. Prince Mutebi (he is now Kabaka Ronald Muwenda Mutebi II of Buganda)

8. ADC to the Kabaka Mutesa II

9. Bi Samira bint Salim Al-Maamariyah

10. & 11. Wageni kutoka kwa Kabaka

12. Shaikh Mohammed bin Abeid Al-Hajj

13. Sayyid Soud Ahmed Al-Busaidy

14 Riadh bin Abdalla Al-Busaidy
 
Umenikumbusha mtu hapo, Princess Amal bint Khalifa

kuna mzee mmoja marehemu, zamani nakumbuka alikua akinapa story za Princess Amal tu, alikua kajaa mdomoni mwake.

Alikua mashuhuri kweli huyo dada.
 


Katika miaka ya 1950 yawezekana ilikuwa mwaka wa 1958 au 1959, Kabaka wa Uganda Edward Fredrick Mutesa II alimpeleka mwanae wa kiume Zanzibar akiwa mgeni wa Sayyid Khalifa.

Picha hiyo hapo chini ilipigwa nyumbni kwa Sultani Zanzibar.
Huyu kijana aliyeletwa Zanzibar sasa ndiye Kabaka wa Buganda:

1. Princess Amal bint Khalifa

2. Bi Khola bint Said Al-Busaidiyah

3. Yaya wa Prince Mutabi

4. Prince Sayyid Jamshid bin Abdalla bin Khalifa (Baadae akawa Sultan wa Zanzibar)

5. Sayyida Nunuu bint Ahmed Al-Busaidiyah (Mke wa Sayyid Khalifa bin Harub, Sultan wa Zanzibar)

6. Prince David Ssimbwa, mdogo wake Kabaka Mutesa II. (Prince David amefariki November 2014)

7. Prince Mutebi (he is now Kabaka Ronald Muwenda Mutebi II of Buganda)

8. ADC to the Kabaka Mutesa II

9. Bi Samira bint Salim Al-Maamariyah

10. & 11. Wageni kutoka kwa Kabaka

12. Shaikh Mohammed bin Abeid Al-Hajj

13. Sayyid Soud Ahmed Al-Busaidy

14 Riadh bin Abdalla Al-Busaidy
Huyo namba 2 Khola Bint Said Al Busaidy ndiye yule anayetajwa na Salamah Bint Said (Emily Ruette) au Princess Salme aliyetorokea Yemen na baadaye Ujerumani mnamo Januari 1866 katika kitabu chake Memoirs of An Arabian Princess?
 
Huyo namba 2 Khola Bint Said Al Busaidy ndiye yule anayetajwa na Salamah Bint Said (Emily Ruette) au Princess Salme aliyetorokea Yemen na baadaye Ujerumani mnamo Januari 1866 katika kitabu chake Memoirs of An Arabian Princess?

hapana mkuu sie huyo, hii picha ni miaka ya 50's mwishoni kuelekea 60's ni majuzi tu. huyo Salme aliekimbia 1866 ni zamani sana
 
Back
Top Bottom