Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,882
wanabodi,
napenda kujua kwenye vita ya mwaka1978-79 kati ya tz na Uganda hakukuwa na visa vyovyote vya udukuaji wa mawasiliano ya wanajeshi wetu ikizingatiwa kuwa mawasiliano kati ya makao makuu dar na wanajeshi waliokuwa kagera yalifanyika kwa simu na radio call na kuna wakati nilisikia somewhere kuwa hata neno LA siri LA kila Siku lilikuwa likitumwa kutoka makao makuu dar.
Wanajeshi wetu waliwezaje kuzuia mawasiliano yetu kudukuliwa au hakukukuwa na teknolojia ya udukuzi kwa miaka hiyo
napenda kujua kwenye vita ya mwaka1978-79 kati ya tz na Uganda hakukuwa na visa vyovyote vya udukuaji wa mawasiliano ya wanajeshi wetu ikizingatiwa kuwa mawasiliano kati ya makao makuu dar na wanajeshi waliokuwa kagera yalifanyika kwa simu na radio call na kuna wakati nilisikia somewhere kuwa hata neno LA siri LA kila Siku lilikuwa likitumwa kutoka makao makuu dar.
Wanajeshi wetu waliwezaje kuzuia mawasiliano yetu kudukuliwa au hakukukuwa na teknolojia ya udukuzi kwa miaka hiyo