Udukuzi Wa Marekani

young super

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
257
Reaction score
315
Inasemekana Kuwa Udukuzi Wa Marekani Upo Hadi Ikulu Ya Tz Hv Kuna Umuhimu Gani Wa Kuwa Na Urafiki Mataifa Yanayo Wachunguza Ki Siri?
 
Hakuna umuhimu,tatizo letu la umaskini wa kujitakia ndo linatufanya tuwe waoga.
 
Inasemekana Kuwa Udukuzi Wa Marekani Upo Hadi Ikulu Ya Tz Hv Kuna Umuhimu Gani Wa Kuwa Na Urafiki Mataifa Yanayo Wachunguza Ki Siri?

Swali la kizushi hivi wewe unapungukiwa nini Marekani wakifanya udukizi ikulu ya TZ..??
 
mi nadhani sio tatizo kwani hyo ndio intelijensia yenyewe kinachotakiwa ni kulinda mianya yote ya habari na sisi kujitahidi kupata info zao !
 
Udukuzi ni sehemu ya maisha, kama wewe hujaanza udukuzi anza sasa. Udukuzi utakusaidia nani anatembea na mkeo, nani anapanga njama za kuiba gari lako, basi lipi ni bovu usipande, kiwanja kipi kimeuzwa mara mbili usikinunue, nani ana chuma ulete mtaani kwako, n.k. Udukuzi una faidi nyingi sana kuliko hasara. Dukua tu hata kama mtu ni rafiki yako namna gani, jambo la msingi ni kuhifadhi vizuri taarifa za mtu usizozihitaji na zisizo na madhara kwako ambazo ulizipata wakati wa kudukua. Marekani ina haki ya kumdukua yeyote yule kwasababu hakuna mtu, taasisi wala nchi iliyoipatia Marekani taarifa yoyote ya kuepusha mashambulizi yale ya Septemba 11, hivyo ina haki ya kum-suspect mtu yeyote duniani.
 
bila hiyo mambo hakuna nchi, ni kuzidiana tu ujanja wenyewe wako mbali sana uwezo wa ni mkubwa zaidi na umeboreshwa
 

Haaaa haaa nimeipenda sana hii...ningekuwa na uwezo ningekupa hata likes mia...
Udukizi ndio habari ya mjini kama mpaka leo hii hujaanza kudukua basi mambo mengi yamekupita pengine hata huyo mkeo/demu washaanza kukumegea kimya kimya bila ya we kujua...
 
na wanadukuaga mambo mengi - makubwa kwa madogo. na inawasaidia kutupeleka watakavyo.
 
Kama mtu ni Gaidi lazima tu atahangaika hangaika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…