Wana football wa uefa champions kwa timu za kutoka uingereza tukutana hapa tuzodoane mi yangu CHELSEA raha sana ulaya kwa kweli mdogo mdogo hatimae mtatuelewa tu
mkuu hilo jina lako linanichekesha sana, hazard kawa mangi sikuhizi???, but hapa wengi watapakimbia coz team zao zote za uingereza zimefungwa 2-1, kama zimeambizana