Napoli wana samba yao moja ya kasi, sidhani kama Barca watapata nafasi ya kupumua kwa pasi fupi fupi.Mechi ngumu apo no Napoli vs Barcelona
Kama unawajua Napoli utaelewa namaanisha nini. Hiyo ni mechi nzito sana
Sent using Jamii Forums mobile app
napoli hii ya sasa ya gattuso???Mechi ngumu apo no Napoli vs Barcelona
Kama unawajua Napoli utaelewa namaanisha nini. Hiyo ni mechi nzito sana
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe jamaa napoli unamjua unamsikia nenda kamuulize klop sitoshangaa napoli akimtia Barcelona.Hivi kwa nini Real madrid kwenye hatua hizi lazima akumbane na kigogo chenzie? Tofauti na Barcelona hatua hizi anapambanishwa na vibonde sana. Eti Napoli
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka lini kocha wa napoli ni gatuso?napoli hii ya sasa ya gattuso???
Sio rahisi mkuu. Hivi vi-team vinajitutumua huku huku mwanzo mpaka hatua waliyofikia. Mfano Real Madrid huwa akifikaga kwenye hatua hizi huwa anayaweka matatizo yake pembeni,analitolea macho kombe lake balaa. Labda Barcelona hanaga records nzuri kwenye hizi hatua. Hata hivyo bado naiona nafasi ya Barcelona kupita hapawewe jamaa napoli unamjua unamsikia nenda kamuulize klop sitoshangaa napoli akimtia Barcelona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kafungashiwa virago juzi tu!Toka lini kocha wa napoli ni gatuso?
napoli ipo chini ya carlol anceloti
Sent using Jamii Forums mobile app
Napoli iliyomsumbua liverpool ilikuwa chini ya mzee mzima Carlo Ancelotti. Sio Napoli hii ya Gattuso.wewe jamaa napoli unamjua unamsikia nenda kamuulize klop sitoshangaa napoli akimtia Barcelona.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahaToka lini kocha wa napoli ni gatuso?
napoli ipo chini ya carlol anceloti
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu jamaa kanikazania eti anasema kocha wa napoli ni anceloti bado..! hahaNapoli iliyomsumbua liverpool ilikuwa chini ya mzee mzima Carlo Ancelotti. Sio Napoli hii ya Gattuso.
Sent using Jamii Forums mobile app
asante kwa kumjibu huyo mtu mkuu maana yuko nyuma mnoo..Kafungashiwa virago juzi tu!
Jamaa alikula ban mda mrefu, naona karudi na ndy anajua kinachojiri sehem mbalimbali!asante kwa kumjibu huyo mtu mkuu maana yuko nyuma mnoo..
duh! lini hiyo mkuu?hahahahaha
hivi upo dunia ya ngapi ww???
Carlo kafukuzwa saivi kocha ni gattuso mechi ya kwanza kwenye ligi wamembutua..
hahaha
siku ile round ya hatua ya makundi mechi ya mwisho genk na napoli huku liver akicheza na Salzburg..
siku ile round ya hatua ya makundi mechi ya mwisho genk na napoli huku liver akicheza na Salzburg..
Tusubiri tuone!Tukutane 8 bora realmsdrid, liverpool , Valencia, spurs, Munich, barca juventus , psg
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaishi dunia gani ya soka?Toka lini kocha wa napoli ni gatuso?
napoli ipo chini ya carlol anceloti
Sent using Jamii Forums mobile app
Mancity watapigwa nje ndani chelsea pia atapigwa nje ndani. toternham na liverpool wanaenda robo fainali tena msimu huu kuungana na juve psg barcelona, na valencia. natabiri tu wakuu. ila bado sijaona timu ya kumzuia liver kuchukua tena kama hawatapata majeruhi.
Sioni wa kumzuia Valencia kubeba ndoo
Tukutane 8 bora realmsdrid, liverpool , Valencia, spurs, Munich, barca juventus , psg
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu waliidharau sana atalanta lakini hadi sasa valencia ndio timu yenye hali mbaya zaidi kuiona robo fainali. sijui pengine atapindua meza kibabe kwenye mechi ya marudiano.1. Borussia Dortmund vs PSG =(Borussia Dortmund anapita)
2. Real Madrid vs Manchester city =(Japo ndio mechi mgumu sana,tunapita sisi Real Madrid)
3. Atalanta vs Valencia =(Valencia anapita)
4. Atletco Madrid vs Liverpool (Liverpool anapita)
5. Chelsea vs Buyern Munich (Munich anapita)
6. Lyon vs Juventus =(Juventus wanapita)
7. Tottenham vs Red Bull (Tottenham wanapita)
8. Napoli vs Barcelona (mechi lain kwa Barcelona wanapita)
Sent using Jamii Forums mobile app