Atalanta alianza vibaya sana kwenye group stage walipigwa tano na Man city, na pia walipigwa mechi tatu mfululizo. Lakini wakabadilika na sasa wanaonekana moja ya timu yenye mpira wa kuvutia sana.Watu waliidharau sana atalanta lakini hadi sasa valencia ndio timu yenye hali mbaya zaidi kuiona robo fainali. sijui pengine atapindua meza kibabe kwenye mechi ya marudiano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngumu mkuu Valencia kupindua meza. Mechi nyingine Tottenham nao waligongwa home. Liver nae ikae vizuri,jamaa wanaweza kukomaa ikawa sareWatu waliidharau sana atalanta lakini hadi sasa valencia ndio timu yenye hali mbaya zaidi kuiona robo fainali. sijui pengine atapindua meza kibabe kwenye mechi ya marudiano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kizingiti ameshakivuka. Lakini sidhani kama atafaulu tena kwa vigogo vitakavyovuka 8 bora. Kwa hatua ya kufika 8 bora UEFA itakuwa ni bora sana kwao piaAtalanta alianza vibaya sana kwenye group stage walipigwa tano na Man city, na pia walipigwa mechi tatu mfululizo. Lakini wakabadilika na sasa wanaonekana moja ya timu yenye mpira wa kuvutia sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkiambiwaga bange ni hatari kwa afya zenu mnaanza kusema ooh mbona serikali inachukua kodi ya RIZILAMancity watapigwa nje ndani chelsea pia atapigwa nje ndani. toternham na liverpool wanaenda robo fainali tena msimu huu kuungana na juve psg barcelona, na valencia. natabiri tu wakuu. ila bado sijaona timu ya kumzuia liver kuchukua tena kama hawatapata majeruhi.
Atalanta ni Moja ya timu yenye safu bora sana ya ushambuliaji barani ulaya. Walianza vibaya kwenye michuano sijui ilikuwa shida nini hadi kupoteza mechi tatu za mwanzoni na kupata kipigo kikubwa zaidi kwa Man city. ila walivyotulia hawakupoteza tena mechi na kutoka sare na man city mechi ya marudiano.Hicho kizingiti ameshakivuka. Lakini sidhani kama atafaulu tena kwa vigogo vitakavyovuka 8 bora. Kwa hatua ya kufika 8 bora UEFA itakuwa ni bora sana kwao pia
Sent using Jamii Forums mobile app