CR7 anacheza beki kwa kweli maana hakuna namna sasa. 😛😛😛Nasikia real Madrid imepwaya Sana wanautafuta kwa tochi,kuna ukweli wowote au unazi tu wa mashabiki wa atletico
Ronaldo alikwepo?maajabu ya dunia hayaMadrid ameshafungwa. Atletico amechukua kikombe
Yupo lakini kapotezwa si waujuwa muziki wa simeoneRonaldo alikwepo?maajabu ya dunia haya
Hayuko fiti piaYupo lakini kapotezwa si waujuwa muziki wa simeone
Kama ha yuko fit kwenye pitch kafuata nini? Acheni kutafuta sababu.Hayuko fiti pia
Kwa hlo na mtetea
[emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276]Kama ha yuko fit kwenye pitch kafuata nini? Acheni kutafuta sababu.
Ilibidi atikise kichwa tuMark Clattenburg anamfahamu Pepe vizuri sana na amwangalia anavyojigaragaza uwanjani.
pathetic
Mbona mnalialia? Kwani nyie mmejipangaje?Daaah
Penalt hazna mwenyewe
Sema wewe[emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji276]
Unajua maana ya kutokuwa fit!!?