Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mkuu mimi nakunywa Heineken za moto , tano tu tayari nishaanza kuongea kizungu .Haha.. Jana PSG wamenipa pesa ndefu
Mkuu ngoja nimuue Arsenal na Madrid Leo..Mkuu mimi nakunywa Heineken za moto , tano tu tayari nishaanza kuongea kizungu .
[emoji87]King Messi waonyeshe wazidi kukuelewa wewe ni nani
Na hilo likiwezekana basi hiyo timu moja kwa moja ni bingwaa.Taarifa zinaonyesha kwamba katika historia ya michuano hii , hakuna timu iliyopigwa 4+ katika game ya kwanza iliwahi kupindua matokeo .
Ni kweli mpira unadunda ila sio kwenye majiMpira unadunda mkuu, kuna mechi ya uefa, Ac milan alishinda 4-1 ugenini dhidi ya Derpotivo La Coruna.
Marudiano pale San Siro, Milan akala 4-0 akatolewa nyumbani. Hivyo chochote kinaweza kutokea Nou Camp.
Ni kweli unadunda ila co kila mahali, kuna sehemu zingine haiwezi kudunda kama ncha za misumari, kwenye maji au matawi ya mtiKweli mpira unadunda
Utadundia uwanjani huko kwenye misumari duuhNi kweli unadunda ila co kila mahali, kuna sehemu zingine haiwezi kudunda kama ncha za misumari, kwenye maji au matawi ya mti
Kumekucha tayari,Wenger sukari imepandaHiki kikosi cha bayern jinsi kilivyo ni tishio kiliko vikosi vyote vinavyoshiriki hatua hii.
KachomoaMapeeemaaa