UEFA Champions League(Klabu bingwa Ulaya), Special Thread

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Msimu wa Klabu Bingwa ulaya, ligi pendwa duniani unaanza leo kwa baadhi ya timu kumenyana uwanjani.

Kupitia uzi huu tutakuwa tukipeana habari kwa msimu mzima.

Timu inayotetea ubingwa - Real Madrid
Mfungaji bora wa mashindano yaliyopita - Cristiano Ronaldo
Mchezaji bora wa mashindano yaliyopita - Cristiano Ronaldo

MAKUNDI YA KLABU BINGWA ULAYA
 
Wazee wa kubet mpooooo??
 
Utamu imerudi katikati ya dimba (pacha)
 
Kama unatumia king'amuzi cha zuku...TV congo wanaonesha mechi ya livapool na sevila, naangalia sasaivi

17 PHD these are results
 
Vibonde juzi wamepiga mtu 6-0. Unajua vibonde wanacheza na nsni tena mechi ijayo.? Kaa hapo hapo kwanza
Wamecheza na timu hata haijulikani. Walipata mlevi chakari wakampeleka mlimani na kuanza kumsukuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…