Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Kikosi bora cha fifa 2016 kina wachezaji wa real Madrid watano 1.ronaldo 2.ramos 3.toni kroos 4.modric 5.marcelo.
Bayern munich Wana kipa tu.
Mbona akiwa Chile haonyeshi makeke kama akina Sanchez au Eduardo Vargas?
Nani kasema tunatolewa..?Real atakuja kutolewa na juve sio bayern
Nakwambia Leo vilio vya wanabernebeu vitasikika kutokea Spain na kusambaa Galilaya yote mpaka Madina.Bayern bhado mnaota.Santiago bernabeu.si mahali salama
Haha!!!Mbona akiwa Chile haonyeshi makeke kama akina Sanchez au Eduardo Vargas?
Hahahaa Mashabiki Wa Barcelona! Ya Kwenu Yanawashinda Msubirini Dybala KeshoVidal mwanangu mpendwa Leo dunia utaisimamisha.
View attachment 497900
Wewe Madrid Sio ArsenalMadrid ashukru jamaa walipata kadi nyekundu siku ile bila hivyo siku ile angepigwa sana!
Heri ukutane na Joka msituni kuliko ukutane na dubu aliyepoteza watoto msituni.Real Madrid kifo tu maana mbele wa mtaalamu babu ruben mzee mbichi mwenye umri wq miaka 25.Real njeeeeeeeee
Safi sana.Madrid ashukru jamaa walipata kadi nyekundu siku ile bila hivyo siku ile angepigwa sana!
Barcelona huko nikafanye nini...?Hahahaa Mashabiki Wa Barcelona! Ya Kwenu Yanawashinda Msubirini Dybala Kesho
Wewe ndio unajua mpiraReal atakuja kutolewa na juve sio bayern
Maana kipigo hiki ni cha aibu kwako. Hawataamini kitakacho wakuta.Heri ukutane na Joka msituni kuliko ukutane na dubu aliyepoteza watoto msituni.
Heri kifo cha bastola kuliko kifo cha kupunguza viungo vya mwili.
Real Madrid kichwa chao halali yetu.
Sio rahisi hivyo.gud bye bayernNakwambia Leo vilio vya wanabernebeu vitasikika kutokea Spain na kusambaa Galilaya yote mpaka Madina.
View attachment 497919
Hahaha umerithi tabiri hizo kwa Simon wa Samaria....?Leo ni tareh 18/4
Re= 18+5+18=40
Ba=2+1+18=21
Real madrid ni namba shufwa na baryen sio shufwa
Hivo real madrid ana nafas kubwa ya kushinda,
Anasapotiwa na tareh na mwezi zote ni shufwa zinalingana
MPE REAL MADRID HUTOJUTA LEO
Mkuu una akili ww hatari xana hao watu cyo wa mchezomchezo htareee # lewandowski#,Arturo Vidal pado,Kingsley Coman,arjen roben kijiko,frank ribbery,Douglas Costa,muller,Manuel nuer mikono saba,David alaba,boaten,Joshua kimmich,thiago alcantara,Sanchez,Alonso,team captain Philip lahm,Juan bernat. Hummel's,hatareeeee mia San mia umenikosha xana mkuu,,,Bingwa mtetezi Real Madrid anaenda kuvuliwa ubingwa wake na Bayern Munich usiku wa leo pale dimbani Santiago Bernabeu.
Kurudi dimbani kwa Roberto Lewandowski ni dalili njema kuwa Bayern Munich ama " The Bavarians " watatakata na kuitoa mashindanoni Real Madrid ambayo katika siku za karibuni wamekuwa na fomu isiyokuwa nzuri kwa wachezaji wake wa mbele yaani BBC.
Kama ilivyo ada, Bingwa mtetezi hawezi kuchukua mara mbili hivyo leo ni siku nzuri kwa Real Madrid kufurumushwa nje ya mashindano.
Mechi ni saa 3:45 usiku