Uefa Champions League: Leo ndio hukumu ya Real Madrid

Mtoa mada uko wapi, Kat ya mada ambayo mwisho wake n leo bas n hii, walizan n ARSENAL HIO, SHWAIN ZAO KBSA
 
Vitu vngne n kujiongeza tuu, ukiona timu yako inacheza na timu ambayo haiwez kuishinda, Cha kufanya unabaki na unazi wako kweny timu yko halaf halaf mpnzan wako unambetia ashinde, ili usikose kote kote, sasa mtoa mada inaonesha n Bayer M, halaf kabet kampa Bayern M tena, hesa imeenda na ushnd umeenda
 
kma Bayern walimpa arsenal 10 wao wamepewa 6 je ingekua arsenal vs Real Madrid matokeo yangekuaje? Calculate [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
[emoji38][emoji38][emoji38] utabiri uchwara mleta uzi ujipange tena upya
 

Mtu mbad[emoji41][emoji41]
Sukari ya warembo [emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji177]......

Cr7 kachana mikeka[emoji23][emoji23][emoji23]
nmefurahi
maana hapa nyumbani kelele zilikua nyingi ooh Lewandosk
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kachanaje mikeka MPIRA UMEANGALIA AU UMESIMULIWA
 
Hata Ile penalty ingekua kapata Madrid ungesema ya kupewa. Poleni sana shabiki wa kale kaligi kalikobaki jina
Mi sitaki ubishi hebu pitia vyombo vyote vya habari uone namna wanavyoizungumzia hayo maamuzi matatu niliyosema.
 
Mi sitaki ubishi hebu pitia vyombo vyote vya habari uone namna wanavyoizungumzia hayo maamuzi matatu niliyosema.
Wewe upigwe bomu kisu au ngumi ukifa umekufa tuu. Kelele nyingi chumbani unaamsha majirani [emoji23] [emoji23]
Jaribuni mwakani
 
Nawaza cjui nani atakuwa kiungo mkabaji wa real pale kati kwny mechi ijayo ????!!!......
Kwenye Uzi wa RMA (sticky), alivyoumia Pepe nilisema Casemiro yupo imara. Kwa sasa nasema ni marufuku Marcelo kuongeza nguvu katika ushambuliaji. Toa Benzema kule mbele ili uanze na Morata na wajitegemee huku wakisubiri mipira mirefu na mashambulizi ya kushtukiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…