Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
Juveee,juve..juve..we fear nobody!
naiona final ya msimu uliopita ikiwa robo, Real Vs Atletico
Subiri ijumaa mchana utajua mmepangiwa na nani, naona UCL imeshakuwa serious sasa.
sawa mkuu ila hebu nidondoshee possibilities kidogo basi,ingawa nahisi hawa jamaa wanaweza kutupeleka Spain kwa Real au Barca.
naiona final ya msimu uliopita ikiwa robo, Real Vs Atletico
Itapendeza mwaka huu bingwa akitoka Italia (bibi kizee/Juventus) au France (PSG wanaweza ..)
ha ha ha ha ha jamaa mchokozi sana wewe!!!!
Mimi ni Real Madrid supporter, na maadui zangu wakubwa hapo ni Barca na Atletico, kwahiyo mi ningefurahi kuona:
Juventus vs Barca
Bayern Munich vs Atlètico
Halafu Real Madrid tupewe Porto au Monaco.
Sio jambo la kushangaza Atlètico wakicheza na Real Madrid akapigwa kama kasimama.
a ha ha haa!nyie ndio wale akina baba mnatakaga kale ka mnofu kakubwa kupita yote kwenye sufuria apewe baba halafu the rest ndio ale mama na watoto.acha roho mbaya mkuu,wewe bingwa mtetezi,tukupe Bayern au rafiki yako Atletico teh!
etiii?!
Umeona game yao ya jana, wale watoto wa Liverkusen wamekosa confidence tu, lakini ile ndio ilikuwa safari yao. Wewe kama huijui Real Madrid subiri uione, kwanza naanza na huyo huyo Barca wenu kwenye la liga jumapili.