Timu kutoka nchi moja zinaweza kukutana kutoka kwenye hatua ya robo fainainal ila kwenye makund haziwez kukutana
huo utani mkuu, Haya kapewa Atletico. Ngoja anyonyolewe.Kiwango cha kuzifumua timu za Spain.
nnachopga hapa n ww kusema etSasa ndugu yangu wewe, ushasema baada ya Madreid na Barca ni Atletico, sasa unapingana nn na mm?
Wachache ukilinganisha na madridi na Barcelona ndio maana yangunnachopga hapa n ww kusema et
Atl Madrid haina fans wengi
Embu kafanye kwanza utafit
Niseme kweli tu Genk ya Samatta ikipangwa na Man U ntaendelea kuishabikia Mashetani siwezi kuaccha Mbachao kwa msala upitaoMbwana Samatta aliyeisaidia timu yake kuingia hatua ya robo fainali tukitaka kujua atapangiwa na timu gani maoni yangu ni heri akutane na Manchester United ili awaoneshe kuwa Tanzania tunaweza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] 7 zinamuhusu
WE SIO SHABIKI WA MAN U WA KWELI YAANI ITANIUMA SANA KM SAMATTA AKIPANGIWA NA MAN U ALAF AKASHINDA YAANI ITAKUA MTANZANIA MWENZANGU KANITIA MACHUNGUMm ni blood fan wa Man u,ila hamu niliyonayo ni kuona GENK anapangwa na nani ili kijana wetu atupie kamba zingine.
Mbona sasa hazijakutana?Ipo ivi wadau kwa atua ya robo fainali sheria inasema timu mbili kutoka nchi moja lazima zikutane ivyoo
Kwan hii ni 1/2fainali ni buyern vs fc Barcelona
Wakati wengine huwa na fikiri marefalii huwa na mahaba na barca,hatua kama hii Chelsea Ndio huwa anawatoa Jasho vilivyo.sikio liliponza kichwa huyo Dyabala atapotezwa ile mbaya au tutamwambia refa ampe red kama tulivyowapunguza kasi MATUIDI na DRAXER pale CAMP NOU kwa kadi za njano dakika 25 za mwanzo
Hiyo sheria naona mmeitunga nyie.Hyo n lazma endapo kama,zmeingia kuanzia 3
More than a clubMes que un club
Nani amekataa?? Tena akipangiwa real ndio anatolea raundi ya kwanza kabisaKwanini hutaki ipangiwe na real Madrid Mkuu ??
duhh timu zangu zimekutanaukiitoa Barcelona timu itakayocheza na juve nitaishabikia juventus turin