UEFA FINAL: Bayern Munich Vs Liverpool, Bayern atabeba kombe kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool

UEFA FINAL: Bayern Munich Vs Liverpool, Bayern atabeba kombe kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool

Leo ni siku ya jumatatu April 30,2018.

Naomba msiusahau huu uzi

Ni hayo tu

Hongereni mashabiki wa Bayern Munich kwa kuchukua kombe la UEFA 2017/18.
Mwenzenu nipo gizani, sikujua kama UEFA umebaki mchezo mmoja tu, ambao ni fainali, kati ya Liverpool na Bayern!!!
 
Leo ni siku ya jumatatu April 30,2018.

Naomba msiusahau huu uzi

Ni hayo tu

Hongereni mashabiki wa Bayern Munich kwa kuchukua kombe la UEFA 2017/18.
Nyie mashabik wa barca mnataka nn uku timu yenu haipo daaaaah ebu token bana nawajua mna vi- wivu vinawasumbua au tuwaitie kale kajamaa [HASHTAG]#roma[/HASHTAG]????? haalaaaaa Madrid
 
Back
Top Bottom