2017–18 UEFA Champions League - Wikipedia
- Leo messi yumo ndani ya champion league squad of the season mbele ya Mane.
kuna kipi alichomzidi kwa mwaka huu? magoli ? timu kuifikisha mbali?
- Radja Nainggolan na James Milner pia hawamo kwenye kikosi badala yake James Rodrgous na Caseemiro wamekula shavu.
Hivi Milner amevunja record ya assist ndani ya champion league ya mwaka huu sijambo lakawida kabisa. jamaa kafanya kazi msimu huu na anasthili sifa yake. Na Nainggolan jamaa kakivuruga kabisa toka ligi inaanza mpaka semi final, mechi zote siza Barce, Liverpool, Chealse, Atletico, Shaktar jamaa kakamua kinoma.
Varane na Van Dijk hawakustahili kabisa kuwemo kikosini mbele ya Fazio na Kolarav. Jamaa wamepiga mpira waukweli kabisa.
Ila sikushangaa sana baada yakugundua katika committee ya kuchagua walikuemmo akina David Moyes.
Roma na Liverpool zimecheza vizuri sana mwaka huu na hasa Roma hata kama hazikua mabingwa. Wachezaji wao wamecheza kwa kiwango kikubwa sana.
- Leo messi yumo ndani ya champion league squad of the season mbele ya Mane.
kuna kipi alichomzidi kwa mwaka huu? magoli ? timu kuifikisha mbali?
- Radja Nainggolan na James Milner pia hawamo kwenye kikosi badala yake James Rodrgous na Caseemiro wamekula shavu.
Hivi Milner amevunja record ya assist ndani ya champion league ya mwaka huu sijambo lakawida kabisa. jamaa kafanya kazi msimu huu na anasthili sifa yake. Na Nainggolan jamaa kakivuruga kabisa toka ligi inaanza mpaka semi final, mechi zote siza Barce, Liverpool, Chealse, Atletico, Shaktar jamaa kakamua kinoma.
Varane na Van Dijk hawakustahili kabisa kuwemo kikosini mbele ya Fazio na Kolarav. Jamaa wamepiga mpira waukweli kabisa.
Ila sikushangaa sana baada yakugundua katika committee ya kuchagua walikuemmo akina David Moyes.
Roma na Liverpool zimecheza vizuri sana mwaka huu na hasa Roma hata kama hazikua mabingwa. Wachezaji wao wamecheza kwa kiwango kikubwa sana.