mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,267
- 4,634
Uefa super league ni wazo la miaka ya 1990 ambayo baadhi ya vilabu vikubwa vilipendekeza kucheza wenyewe kwa wenyewe kwenye jumla ya timu 16 kubwa.
Uefa na Fifa walipinga vikali suala Hilo kwa mafai kwamba litaharibu ushindani wa ligi za ndani.
Lakini klabu za manchester united, chelsea, Arsenal, livapool, Juventus, Real Madrid Barcelona etc zimekubali kujiunga ligi hiyo lakini timu za Ujerumani bado hazijakubali moja kwa moja.
Eufa wamepigwa mkwara kwamba vilabu vitakavyokubali kucheza ligi hiyo Kama ligi hiyo itarasimishwa basi vinaweza kufutiwa usajili na wachezaji watakao cheza watapewa zuio la kuhamia kucheza ligi nyingine.
Je, klabu hizi kubwa zinaweza kufutiwa usajili?Hasara ni kwa Nani wakifanya hivyo? Je, kwa Nini Euefa wanaogopa ligi hii kwa kisingizio Cha kushuka kwa Uefa? Kwanini watu wengi kama wanaipinga. Je, lengo la mpira si ni kutengeneza pesa?sasa Kama timu zinapata pesa Tatizo liko wapi?kwa nini kuna Uefa nations league na Euro league?
Hebu tusaidiane michango Mawazo na tuelimishane umuhimu na hasara ya hii ligi.kisha tuwe na mzani inafaa au haifai kwa sababu
Karibu kwa michango[emoji120][emoji120][emoji120]
Uefa na Fifa walipinga vikali suala Hilo kwa mafai kwamba litaharibu ushindani wa ligi za ndani.
Lakini klabu za manchester united, chelsea, Arsenal, livapool, Juventus, Real Madrid Barcelona etc zimekubali kujiunga ligi hiyo lakini timu za Ujerumani bado hazijakubali moja kwa moja.
Eufa wamepigwa mkwara kwamba vilabu vitakavyokubali kucheza ligi hiyo Kama ligi hiyo itarasimishwa basi vinaweza kufutiwa usajili na wachezaji watakao cheza watapewa zuio la kuhamia kucheza ligi nyingine.
Je, klabu hizi kubwa zinaweza kufutiwa usajili?Hasara ni kwa Nani wakifanya hivyo? Je, kwa Nini Euefa wanaogopa ligi hii kwa kisingizio Cha kushuka kwa Uefa? Kwanini watu wengi kama wanaipinga. Je, lengo la mpira si ni kutengeneza pesa?sasa Kama timu zinapata pesa Tatizo liko wapi?kwa nini kuna Uefa nations league na Euro league?
Hebu tusaidiane michango Mawazo na tuelimishane umuhimu na hasara ya hii ligi.kisha tuwe na mzani inafaa au haifai kwa sababu
Karibu kwa michango[emoji120][emoji120][emoji120]