TIMING JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 28,186 Reaction score 15,549 Mar 18, 2010 #1 Wakuu i have just finished watching fulham destroying Juve 4-1 pamoja na kuwa nyuma 0-1 within 2 minutes!!! Hili ni kombe dogo la ulaya lakini today was a very good day for an England team Cannavaro was red carded
Wakuu i have just finished watching fulham destroying Juve 4-1 pamoja na kuwa nyuma 0-1 within 2 minutes!!! Hili ni kombe dogo la ulaya lakini today was a very good day for an England team Cannavaro was red carded
Ng'wanza Madaso JF-Expert Member Joined Oct 21, 2008 Posts 2,268 Reaction score 335 Mar 18, 2010 #2 Valencia wamepita kwa away goal, matokeo 4-4 lakini valencia walitoka 1-1 nyumbani kwao.
Wacha1 JF-Expert Member Joined Dec 21, 2009 Posts 16,681 Reaction score 8,241 Mar 18, 2010 #3 Hawa Cottagers wamefanya kweli, kazi ipo mwaka huu.
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 8,635 Reaction score 2,205 Mar 18, 2010 #4 game ilikuwa kali sana hii.na ndio nasema liverpool na nyie mmeoneshwa jinsi mpira unavyopigwa kakazeni buti sasa.
game ilikuwa kali sana hii.na ndio nasema liverpool na nyie mmeoneshwa jinsi mpira unavyopigwa kakazeni buti sasa.
Pape JF-Expert Member Joined Dec 11, 2008 Posts 5,487 Reaction score 83 Mar 18, 2010 #5 De Novo said: Cannavaro was red carded Click to expand... big brother!
TIMING JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 28,186 Reaction score 15,549 Mar 18, 2010 Thread starter #6 Pape said: big brother! Click to expand... dogo vipi? naona ni kama mara ya nne au tatu hivi unaweka hii "big brother"
Pape said: big brother! Click to expand... dogo vipi? naona ni kama mara ya nne au tatu hivi unaweka hii "big brother"