UEFA ,bila mashetani wekundu ni sawa na demu mzuri ila ni flat screen.Mzuka wanajamvi.
Though patience is a skill we have to learn it ila UEFA wanakera.
Ingekuwa zamani sasa hivi leo ijumaa tungeshajua draw za the last 16 UEFA champions league.
Sasa inabidi tusubiri hadi jumatatu tujuwe draw yenyewe.
Hatuwezi kusubiri na kuvumilia zaidi ya siku mbili zote jumatatu ni mbali.
UEFA wajitafakari. Tukiamua kususa sasa hivi kwa kukosa uvumilivu watakosa mapato na ligi kushuka umaarufu.
JF football fanatic
They are not boring lkn ulaya nzima bado inashangaa inakuaje Manchester United kawa wa mwisho kwenye Group lao.Mzuka wanajamvi.
Though patience is a skill we have to learn it ila UEFA wanakera...
Kichekesho cha karne eti "asuse" ππππUnalalamika hapo bedsitter kwako halafu huna mchango wowote kwa UEFA mechi zenyewe unastream kwenye illegal sites.
Jezi ya team yako yenyewe unavaa feki.
Ungewaandikia kingereza labda wangekusikiliza. Sasa umeandika kimatumbi!?Mzuka wanajamvi.
Though patience is a skill we have to learn it ila UEFA wanakera.
Ingekuwa zamani sasa hivi leo ijumaa tungeshajua draw za the last 16 UEFA champions league.
Sasa inabidi tusubiri hadi jumatatu tujuwe draw yenyewe.
Hatuwezi kusubiri na kuvumilia zaidi ya siku mbili zote jumatatu ni mbali.
UEFA wajitafakari. Tukiamua kususa sasa hivi kwa kukosa uvumilivu watakosa mapato na ligi kushuka umaarufu.
JF football fanatic