Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
List ingekua ni top 10 Man u wasingekuwepo,ila aliyeandaa hiyo list ni shabiki wa man U ndio maana ikawa top 20, ili Man u ionekane
Yaani sisi ndo wa mkiani naandamana aisee!!! Kwanini mmefanya hujuma hivi......sikubali kukatwaa....lol .....si haba lakini kupotea misimu 2 ukawepo bado hata kwenye hiyo top 20 big up MUFC...... utasema nina uwivu ngoja nikupongeze #HalaMadrid ....
nashabikia timu ya mpira wa miguu inayocheza ligi kuu nchini uingereza inaitwa Chelsea Football Club,Wewe nahisi ni LFC si bure.....