Uelewa juu ya biashara ya kirikuu ilipo fikia kwa Dar

Uelewa juu ya biashara ya kirikuu ilipo fikia kwa Dar

DALOOKER

New Member
Joined
Jan 8, 2017
Posts
4
Reaction score
4
Habari zenu wadau .Ningependa kufahamu kwa wale amabao bado wana fanya biashara ya kirikuu(carry) (nikimaanisha kumpa dereva alete hesabu)

1. kama hii biashara bado inalipa au ni mauza uza tu?
2. Kwa wale ambao bado ina walipa mnafanyaje ili kufanikisha hii shuguli?
3. Hesabu siku hizi ni sh ngapi?

Maana ninazo mbili ila naona mauza uza tu .kwaio kwa wenye ujuzi zaidi waku saidia naomba mawazo yenu.
 
Nikiwahi kuwa na Kirikuu tatu miaka ya nyuma. Huyu wiki hii akileta hela, huyu mwingine atakwambia wiki hii gari inaenda service, yule atakwambia tyre imekwisha. So unajikuta umeingiza hela ya gari moja.
Biashara ni nzuri gari ikiwa mpya ila ikishapita mwaka mmoja, basi jiandae kuwafanyia kazi watu wengine...
 
Dooooooh
Nikiwahi kuwa na Kirikuu tatu miaka ya nyuma. Huyu wiki hii akileta hela, huyu mwingine atakwambia wiki hii gari inaenda service, yule atakwambia tyre imekwisha. So unajikuta umeingiza hela ya gari moja.
Biashara ni nzuri gari ikiwa mpya ila ikishapita mwaka mmoja, basi jiandae kuwafanyia kazi watu wengine...

Siyakudumisa Thixo
 
Habari zenu wadau .Ningependa kufahamu kwa wale amabao bado wana fanya biashara ya kirikuu(carry) (nikimaanisha kumpa dereva alete hesabu),
1. kama hii biashara bado inalipa au ni mauza uza tu?
2. Kwa wale ambao bado ina walipa mnafanyaje ili kufanikisha hii shuguli?
3. Hesabu siku hizi ni sh ngapi?

Maana ninazo mbili ila naona mauza uza tu .kwaio kwa wenye ujuzi zaidi waku saidia naomba mawazo yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ya kirikuu inalipa sana Dodoma ....naongea kwa uhakika!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau .Ningependa kufahamu kwa wale amabao bado wana fanya biashara ya kirikuu(carry) (nikimaanisha kumpa dereva alete hesabu),
1. kama hii biashara bado inalipa au ni mauza uza tu?
2. Kwa wale ambao bado ina walipa mnafanyaje ili kufanikisha hii shuguli?
3. Hesabu siku hizi ni sh ngapi?

Maana ninazo mbili ila naona mauza uza tu .kwaio kwa wenye ujuzi zaidi waku saidia naomba mawazo yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi umetekelezwa
 
Unamaanisha lorry zenye ukubwa gani mkuu?
Na vipi kuhusu zile canter zinazouzwa milioni 25 zinafaa au hadi niwe na hela ya kununua scania kipisi?
Canter utabebea mawe kweli? Labda ununue fuso zile tipper
 
Habari zenu wadau .Ningependa kufahamu kwa wale amabao bado wana fanya biashara ya kirikuu(carry) (nikimaanisha kumpa dereva alete hesabu)

1. kama hii biashara bado inalipa au ni mauza uza tu?
2. Kwa wale ambao bado ina walipa mnafanyaje ili kufanikisha hii shuguli?
3. Hesabu siku hizi ni sh ngapi?

Maana ninazo mbili ila naona mauza uza tu .kwaio kwa wenye ujuzi zaidi waku saidia naomba mawazo yenu.

Sasa hiki ni nini?
 
Back
Top Bottom