crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 851
Habari wana JF poleni na kazi na majukumu mbalimbali,
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye swali langu, ni kwanini fingerprint scanner kwenye simu janja baada ya kuscan upande mmoja wa kiganja either cha kushoto au cha kulia (mfano nimetumia cha kulia) kwa nini nkitumia mkono mwingine inagoma ku-unlock screen?
Je ni ubovu wa simu au fingerprint ya kiganja kimoja na kingine ni tofauti 🤨🤨
Karibuni kwa majibu👇👇👊🙏
NB: Samahani kwa kutokutumia kiswahili fasaha penye makosa nikosoe🙏🙏
"swali la kijinga likijibika kwa utaalamu hUmfanya mjinga kuwa kwenye kundi la wajanja😅😅
"crusader-ready when called"
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye swali langu, ni kwanini fingerprint scanner kwenye simu janja baada ya kuscan upande mmoja wa kiganja either cha kushoto au cha kulia (mfano nimetumia cha kulia) kwa nini nkitumia mkono mwingine inagoma ku-unlock screen?
Je ni ubovu wa simu au fingerprint ya kiganja kimoja na kingine ni tofauti 🤨🤨
Karibuni kwa majibu👇👇👊🙏
NB: Samahani kwa kutokutumia kiswahili fasaha penye makosa nikosoe🙏🙏
"swali la kijinga likijibika kwa utaalamu hUmfanya mjinga kuwa kwenye kundi la wajanja😅😅
"crusader-ready when called"