Uelewa wangu mimi wa maana ya neno uhuni

Uelewa wangu mimi wa maana ya neno uhuni

ndo vile

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
443
Reaction score
296
Neno uhuni linamaanisha tabia ya kufanya mambo yasiyofaa au kukubalika katika jamii,hii ni pamoja na matendo ya udharirishaji, uvunjaji wa sheria au kuonyesha ukosefu wa maadili,kwa ufupi ni tabia ya kuishi bila hofu ya sheria au maadili ya jamii.

Wahuni,ni watu wanaojihusisha na vitendo vya kialifu au tabia zisizofaa katika jamii.Wahuni ni watu wanaojulikana kufanya vitendo vya vurugu,uharibifu na uvunjaji wa sheria, mara nyingi bila kuzingatia maadili ya jamii.

N.B Tuombe Mungu Mlimani city kusiwe na uhuni wala wahuni wasitokee.
 
Neno uhuni linamaanisha tabia ya kufanya mambo yasiyofaa au kukubalika katika jamii,hii ni pamoja na matendo ya udharirishaji, uvunjaji wa sheria au kuonyesha ukosefu wa maadili,kwa ufupi ni tabia ya kuishi bila hofu ya sheria au maadili ya jamii.

Wahuni,ni watu wanaojihusisha na vitendo vya kialifu au tabia zisizofaa katika jamii.Wahuni ni watu wanaojulikana kufanya vitendo vya vurugu,uharibifu na uvunjaji wa sheria, mara nyingi bila kuzingatia maadili ya jamii.

N.B Tuombe Mungu Mlimani city kusiwe na uhuni wala wahuni wasitokee.
Umemaliza mkuu.
 
Kuna maana rasmi na maana isiyo rasmi, kama ni maana isiyo rasmi uko sawa lakini maana rasmi
Uhuni/Mhuni ni mtu ambaye hajaoa/kuolewa (bachelor(me)/sinister(ke))
 
Back
Top Bottom