Uendeshaji huu gari ni sahihi?

Nilichogundua watu wengi ambao wanatumia miguu miwili kwenye gari za auto ni wale ambao mguu wa kushoto una nguvu kuliko mguu wa kulia
 
Nilichogundua watu wengi ambao wanatumia miguu miwili kwenye gari za auto ni wale ambao mguu wa kushoto una nguvu kuliko mguu wa kulia
Ni kweli maana mi mwenyewe natumia huo mguu
 
Kama vile ambapo ilipogundulika kuna watu wanatumia mkono wa kushoto na ikaonekanekana ni abnormality kwakuwa kila mtu amezoea kuona watu wanatumia mkono wa kulia katika kuandika then baada ya tafiti za kisayansi ikaonekana kuwa kuna watu ni wapo hivyo, yaani ubongo upo wired hivyo kutumia mkono wa kushoto kama main hand katika shughuli zote.

Ni swala la ubongo sio swala la kuamua binafsi.

So hata katika magari pia kuna watu ubongo wao upo wired kutumia both pedals at the same time. My husband pia ni muhanga wa hii kitu. Anatumia pedals mbili kwa wakati m'moja na akisema atumie mguu m'moja anakuwa katika hatari ya kugonga. So amejikubali hivyo na anasema tokea ameanza kujifunza gari mwaka 2003 alikuwa anatumia pedal mbili hivyo hadi leo.
 
Hata mimi pia. Na wanaosema kuwa kuendesha kwa miguu miwili ni hatari mi napingana nao. Nimeshajaribu kuendeshea mguu mmoja nilishindwa kufanya maamuzi kwa wakati nikajikita nashika breki kaka lena vile
Ni kweli maana mi mwenyewe natumia huo mguu
 
Hata mimi pia. Na wanaosema kuwa kuendesha kwa miguu miwili ni hatari mi napingana nao. Nimeshajaribu kuendeshea mguu mmoja nilishindwa kufanya maamuzi kwa wakati nikajikita nashika breki kaka lena vile

Miguu 2 ni salama zaidi.
 
Mimi naendesha both(manual+auto) kwa kutumia miguu 2 miaka zaidi ya miaka 15 sasa.
Sawa lakini nilitaka utupe experience yako huwa huchanganyi mafile? Sisi wengine tuna reserve mguu wa kushoto kwa ajili ya clutch tu kuwa hiyo kuendesha manual inakuwa rahisi.
Sasa wewe wa kukanyaga break kwa mguu wa kushoto huwa inakuwaje kwenye stick shift? Hujichanganyi?
 

Sijawahi kuchanganya kabisa mkuu,auto nikiendesha kwa mguu mmoja siwezi hata ku maintain kwa dakika 1.
 
Sijawahi tumia mguu mmoja kwenye auto 20 years barabarani. Nadhani ni dhana tuu haina mashiko.
 
Hand break hio ni mbovu
 
Mi naendesha mguu mmoja tena nikivaa sandroz ndo natumia kidole kikubwa cha mguu wa kulia.

Nimeshazoea kiasi kwamba nikikanyaga pedal na mguu wote naona napoteza muda.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Mi naendesha mguu mmoja tena nikivaa sandroz ndo natumia kidole kikubwa cha mguu wa kulia.

Nimeshazoea kiasi kwamba nikikanyaga pedal na mguu wote naona napoteza muda.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app

Ila watu nyieee jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti kidole gumba tu
 
Huelewek na Nina wasiwasi hata Kama Hilo Gari unalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…