Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Tumeona urembo unavoendelea kuwa hadhi na ni hitaji la watu wengi hasa wanawake,nitaelezea namna ya kuendesha biashara hii kisasa hata kma sio msusi vitu gani unatakiwa uvizingatie.
Kwanza biashara hii ukitaka uiendshe kisasa lazima utoe hudumña 4 muhimu ambazo ni
1. Pedicure and manicure(kucha na kuoshamiguu)
2. Makeup (urembo wa uso)
3. Hairdressing(kusuka na kutengeneza nywele)
4. Spa(massage na facial)
Unatakiwa uwe makini kwenye kuchagua eneo chagua eneo ambayo Lina mkusanyiko kias wa watu namaanisha lilichangamka.
Unatakiwa utafute vijana professional kwaajili ya kazi hii wanaoweza kufanya kazi Kwa weledi na ufanis
Hakikisha unaweza vifaa vya kisasa na na vyenye ubora Ili kuvutia wateja
UTOAJI HUDUMA
1. Hakikisha unatumia bidhaa Bora kabisa za nywele makeup rangi za kucha na bidhaa zote za spa kuepuka madhara Kwa watumiaji usifuate vitu cheap
2. Jitahid kutoa ushauri wa masuala ya urembo Kwa watejawako wenye changamoto mbalimbali Kwa ustaarabu na unyenyekevu
3. Zingatia usafi na kujali wenye matatixo ya kuafya hapa nazungumzia kutoshare baadhi ya vifaa has vyenye ncha Kali pia unaweza kujikuta unamtoboa mteja ambae ana kisukar ikawa shida lazima ujue kuwahumia kulingana na halizao
4. Hakikisha ofisi sio sehemu ya kutoa huduma za kifamilia wew na nduguzako mkahudumiwe Bure lipa unapohitaji huduma utajenga nidhamu hata Kwa wafanyakaz wako kutotumia vitu vya ofis bila mpangilio
5. Pokea malalamiko rekebisha kwawakati zingatia saluni sio danguro Wala sehemu ya umbea nidhamu iwepo na simamia Hilo
6. Ulipaji wa wafanyakazi utegemee na ufanyaji wao wa Kaz mnapatana kias atachoingiza na kiasi atacholipwa hii inahasishwa ufanyaji kazi Kwa ubora Ili ahudumie watejawengi zaidi apate pesa nzuri usiwe mbahili lipa wafanyakazi Kwa wakati...
Antonnia
Lovelovie
We just path
Depal
lennie
Bantu Lady haya mje mjazie nyamanyama
Kwanza biashara hii ukitaka uiendshe kisasa lazima utoe hudumña 4 muhimu ambazo ni
1. Pedicure and manicure(kucha na kuoshamiguu)
2. Makeup (urembo wa uso)
3. Hairdressing(kusuka na kutengeneza nywele)
4. Spa(massage na facial)
Unatakiwa uwe makini kwenye kuchagua eneo chagua eneo ambayo Lina mkusanyiko kias wa watu namaanisha lilichangamka.
Unatakiwa utafute vijana professional kwaajili ya kazi hii wanaoweza kufanya kazi Kwa weledi na ufanis
Hakikisha unaweza vifaa vya kisasa na na vyenye ubora Ili kuvutia wateja
UTOAJI HUDUMA
1. Hakikisha unatumia bidhaa Bora kabisa za nywele makeup rangi za kucha na bidhaa zote za spa kuepuka madhara Kwa watumiaji usifuate vitu cheap
2. Jitahid kutoa ushauri wa masuala ya urembo Kwa watejawako wenye changamoto mbalimbali Kwa ustaarabu na unyenyekevu
3. Zingatia usafi na kujali wenye matatixo ya kuafya hapa nazungumzia kutoshare baadhi ya vifaa has vyenye ncha Kali pia unaweza kujikuta unamtoboa mteja ambae ana kisukar ikawa shida lazima ujue kuwahumia kulingana na halizao
4. Hakikisha ofisi sio sehemu ya kutoa huduma za kifamilia wew na nduguzako mkahudumiwe Bure lipa unapohitaji huduma utajenga nidhamu hata Kwa wafanyakaz wako kutotumia vitu vya ofis bila mpangilio
5. Pokea malalamiko rekebisha kwawakati zingatia saluni sio danguro Wala sehemu ya umbea nidhamu iwepo na simamia Hilo
6. Ulipaji wa wafanyakazi utegemee na ufanyaji wao wa Kaz mnapatana kias atachoingiza na kiasi atacholipwa hii inahasishwa ufanyaji kazi Kwa ubora Ili ahudumie watejawengi zaidi apate pesa nzuri usiwe mbahili lipa wafanyakazi Kwa wakati...
Antonnia
Lovelovie
We just path
Depal
lennie
Bantu Lady haya mje mjazie nyamanyama