CompilerZeCoder
Member
- Oct 27, 2015
- 30
- 9
Hello Jf Doctor,
Kuna jambo linanipa utata wa majibu kila napolifikiria.
Kwanza kabisa pongezi kubwa ziwafikie wahusika wakuu na waanzilishi wa Project ya Mwendokasi Dar (UDART)
Ila tukiangalia uwiano wa mabasi na watu n wazi kwamba mambo hayajakaa sawa maana watu hujazana kiasi kwamba hewa inakua ndogo na unaweza kupelekea hata kuwa n chanzo cha magonjwa ya kuambukiza km :-
1)TB
2)Fungus (Magonjwa ya ngozi)
N.k
Hivi my fellow doctors hii yaweza kuwepo ama isiwepo maana n kylingana na investigations zangu tuu sijafanyia utafiti hii kitu, let's discuss please
Kuna jambo linanipa utata wa majibu kila napolifikiria.
Kwanza kabisa pongezi kubwa ziwafikie wahusika wakuu na waanzilishi wa Project ya Mwendokasi Dar (UDART)
Ila tukiangalia uwiano wa mabasi na watu n wazi kwamba mambo hayajakaa sawa maana watu hujazana kiasi kwamba hewa inakua ndogo na unaweza kupelekea hata kuwa n chanzo cha magonjwa ya kuambukiza km :-
1)TB
2)Fungus (Magonjwa ya ngozi)
N.k
Hivi my fellow doctors hii yaweza kuwepo ama isiwepo maana n kylingana na investigations zangu tuu sijafanyia utafiti hii kitu, let's discuss please