demisexual
Member
- Jan 10, 2021
- 7
- 28
Wakubwa shikamoni wadogo wenzangu habari zenu mimi ni mwanafunzi wa uguuzi na ukunga katika ngazi ya diploma.
Niliamua kusitisha masomo kutokana na kukosa ada ambayo nilijichanga kama kijana lakini kutokana na changamoto nimeshindwa kumalizia mwaka wa tatu naomba kama kuna mtu yoyote ana connection na mtu mwenye health centre, dispensary au hopsital wenye uwezo wa kunidhamini na kuingia nae mkataba nikimaliza nikafanye kazi kwake kama malipo ya deni
Niliamua kusitisha masomo kutokana na kukosa ada ambayo nilijichanga kama kijana lakini kutokana na changamoto nimeshindwa kumalizia mwaka wa tatu naomba kama kuna mtu yoyote ana connection na mtu mwenye health centre, dispensary au hopsital wenye uwezo wa kunidhamini na kuingia nae mkataba nikimaliza nikafanye kazi kwake kama malipo ya deni