Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NASEMA BILA KIFICHO, HUU NI UPUMBAVU MTUPU. UJINGA, UTAPELI. KUNA VIJANA, BATCH YA KWANZA KABISA KOZI YA GAS AND PETROLEUM ENGINEERING UDSM , MPAKA LEO HAKUNA ALIYEAJILIWA KWENYE FANI HIYO. LEO MNALETA MAKAMASI TENA HAPA!
Wote wameajiriwaNASEMA BILA KIFICHO, HUU NI UPUMBAVU MTUPU. UJINGA, UTAPELI. KUNA VIJANA, BATCH YA KWANZA KABISA KOZI YA GAS AND PETROLEUM ENGINEERING UDSM , MPAKA LEO HAKUNA ALIYEAJILIWA KWENYE FANI HIYO. LEO MNALETA MAKAMASI TENA HAPA!
Huwa nakuona wa maana sana hapa JF, unapoandika "ujinga", then unanitia mashaka! Nina kijana wangu alWote wameajiriwa
Nakazia kuna dogo kasomea hiyo kozi China kamaliza ajira hamna na kasomeshwa kwa pesa ndefu.. tumemchangia mtaji anajifanyia biashara ss hivi yuko vizuri.NASEMA BILA KIFICHO, HUU NI UPUMBAVU MTUPU. UJINGA, UTAPELI. KUNA VIJANA, BATCH YA KWANZA KABISA KOZI YA GAS AND PETROLEUM ENGINEERING UDSM , MPAKA LEO HAKUNA ALIYEAJILIWA KWENYE FANI HIYO. LEO MNALETA MAKAMASI TENA HAPA!
Uko sahihi, kijana wangu with all flyng colours passes in that course, batch ya kwanza kabisa UDSM, hajawahi pata kazi mpaka leo. Yuko kwenye uandishi wa habari bila kusomea uandishi a habari...... michezo michezo ya uandishi wa habariNakazia kuna dogo kasomea hiyo kozi China kamaliza ajira hamna na kasomeshwa kwa pesa ndefu.. tumemchangia mtaji anajifanyia biashara ss hivi yuko vizuri.
Uncle anasema pesa ya ada bora angempa mtaji 🤣🤣🤣
Acha uongo bossUko sahihi, kijana wangu with all flyng colours passes in that course, batch ya kwanza kabisa UDSM, hajawahi pata kazi mpaka leo. Yuko kwenye uandishi wa habari bila kusomea uandishi a habari...... michezo michezo ya uandishi wa habari
😅😅😅waliomaliza hii kozi wote wameamua kula chaki tu ubaoni wanapiga kelele na Organic chemistry
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hatariiiii.[emoji28][emoji28][emoji28]waliomaliza hii kozi wote wameamua kula chaki tu ubaoni wanapiga kelele na Organic chemistry
Project zinakuja maeneo nyeti yote yashapewa wageni , Wabongo wanabaki kuwa vibarua tu.Wajaribu kutafuta kazi nje ya Tanzania huwa kuna machaka nje pia...
Div 1.3 mpk 1.5 😅😅,then unaajiriwa kibarua kwa waarabu kweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hatariiiii.