Habari wakuu,
Naomba msaada wa kimasomo kwa atakayeguswa ama anaefaham mashirika yanayotoa misaada ya kimasomo kwa ngazi ya cheti.
Natamani sana kuendelea na masomo ila hali ya kimaisha ndo changamoto kwangu nilifaulu kwenda form five nikasoma mpaka form six ila sikufanya mitihani yangu.
Kwa anaeweza kunisaidia hata Kama ni kwa maandishi naomba anisaidie pia Kama kuna mashirika yanayoweza kunisaidia kwa hapa Tanzania naomba anaefaham anisaidie natamani kuendelea na masomo ila uchumi ndo changamoto kwangu.
Hata msaada wa kimawazo jinsia ni female
Matokeo yangu ya form four yalikuwa:
Civics-D
History-C
Geography-C
Kiswahili-C
English-C
Physics-D
Chemistry-C
Biology-B
Mathematics-D
Asanteni.
Naomba msaada wa kimasomo kwa atakayeguswa ama anaefaham mashirika yanayotoa misaada ya kimasomo kwa ngazi ya cheti.
Natamani sana kuendelea na masomo ila hali ya kimaisha ndo changamoto kwangu nilifaulu kwenda form five nikasoma mpaka form six ila sikufanya mitihani yangu.
Kwa anaeweza kunisaidia hata Kama ni kwa maandishi naomba anisaidie pia Kama kuna mashirika yanayoweza kunisaidia kwa hapa Tanzania naomba anaefaham anisaidie natamani kuendelea na masomo ila uchumi ndo changamoto kwangu.
Hata msaada wa kimawazo jinsia ni female
Matokeo yangu ya form four yalikuwa:
Civics-D
History-C
Geography-C
Kiswahili-C
English-C
Physics-D
Chemistry-C
Biology-B
Mathematics-D
Asanteni.